Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,754
Ushaambiwa kwamba baba yao hana PhD mama yao ndio anayo pamoja na hao wengine sidhani kama huo ndo ulikua mtazamo wa mleta mada bali yeye ameona kushahibiana majina sasa mtu apate wivu kivipi maana hao watu kama ni elimu kweli wanayo na imeshiba vizuriKwa wenye akili tumeshaenda mbali zaidi na kujua hasa ' Kiini ' cha huu ' Uzi ' wako ambapo unachotaka kusema hapa japo unazunguka zunguka tu ni kwamba Watu wawili ambao pia ni Ndugu wa damu kabisa wamepewa ' Wadhifa ' Serikalini hivyo unaonekana hujapenda na ' Wivu ' umekujaa.
Kwa kukusaidia tu ni kwamba hao wote ni Ndugu na huyo Ally Kwao ndiyo ' the last born '. Kitu cha kufurahisha tu ni kwamba katika Familia yao hakuna ambaye hana ' Doctorate Degree / PhD ' kwani hata Wazazi wao nao ni ' PhD ' Holders halafu pia Familia yao ni ya mambo safi tupu.