figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,560
- 62,126
Amekomaa kwenye nyanja za ukatili.Ajumuishwe kwenye kikosi kharamu cha sheikh Mwaipopo ili waue raia vizuri.Naona moshi Mweusi huko pwani ya Tanzania.
Nchi ipo kuaminisha Dunia uongo kwamba watu wanaishii kwa upendo na amani, halafu anatokea DC anatia kitumbua Mchanga.
Na hivi haziivi na uzao wa Kizimkazi sio kama safari hii atavuka salama
Mzee Mangula hana hamu na haka kadubwana almanusra kamtoe roho kwa kumwekea sumu kwenye maji ya kunywa.Amekomaa kwenye nyanja za ukatili.Ajumuishwe kwenye kikosi kharamu cha sheikh Mwaipopo ili waue raia vizuri.
Na akatunukiwa cheyo at the very moment!Mzee Mangula hana hamu na haka kadubwana almanusra kamtoe roho kwa kumwekea sumu kwenye maji ya kunywa.
For a job well doneNa akatunukiwa cheyo at the very moment!
Jaribu ku white wash incomptent individuals na kusema wako juu, hafai hata kufunga kamba za viatu vya antony mtakaDC bora wa sasa yupo kisarawe jamaa yuko juu sana
USSR
Naona moshi Mweusi huko pwani ya Tanzania.
Nchi ipo kuaminisha Dunia uongo kwamba watu wanaishii kwa upendo na amani, halafu anatokea DC anatia kitumbua Mchanga.
Na hivi haziivi na uzao wa Kizimkazi sio kama safari hii atavuka salama
Pia soma Video: Waliojitambulisha kuwa ni Askari wamvamia Mwananchi usiku wa manane
Mzee Mangula hana hamu na haka kadubwana almanusra kamtoe roho kwa kumwekea sumu kwenye maji ya kunywa.
Holy mackerel!Dunia haiviachi vibweka viende zake.For a job well done
Anachezwa shere.Haziivi na kizimkazi?? Yeye na kizimkazi dam dam mpaka akamuozesha binti Kwa mahari liyotoka kizimkazi