Je, CHADEMA imegawanyika Vipande Viwili?

Je, CHADEMA imegawanyika Vipande Viwili?

Angeconcentrate kwenye kazi yake huenda mambo kitaa yasingekuwa yalivyo....; Tunahitaji atwambie Kwanini Nishati inazidi kuwa Tatizo, Vyakula vinapanda n.k. hayo ya Chadema hayatuletei Mkate Mezani....
 
Wakati mnatakiwa mjikite kuhakikisha kuna uwepo wa umeme wa uhakika na maji mnawaza mgawanyiko CHADEMA.

Ikifika uchaguzi mnatumia vyombo vya usalama kukwapua masanduku ya kura na kuongeza kura batili.
IMG_20201112_104731.jpg
 
Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni

Kiufupi Chadema si Wamoja tena

Je,kuna Ukweli wowote?

Mlale Unono 😀😀😵🌟🐼
Mbona tuliambiwa kuwa Chadema ilisha jifia miaka mingi iliyopita! Sasa ni Chadema ipi iliyomeguka?

Amandla...
 
Unauliza majibu hujaona leo kwenye kikao kaja mwakilishi kutoka zanzibar wakati mnyika katuambia chadema hawatashiriki? Mbowe anakaribia kuangushwa kama ali bongo ondimba.
 
Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni

Kiufupi Chadema si Wamoja tena

Je,kuna Ukweli wowote?

Mlale Unono [emoji3][emoji3][emoji43][emoji93][emoji209]
Mwache acheze mdundiko
 
Inawezekana maana katika maisha haya usimuamini kabisa mtu mwenye malyenge I.e macho kama yale ya Mbowe na Kova. Hawaaminiki kabisa pia yule mwingine ana uchungu na Roho ya malipizi baada ya damu yake kumwagika pale Dodoma so anataka na damu ya watanzania wengine zimwagike.
Alimwagwa damu na nani
 
Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni

Kiufupi Chadema si Wamoja tena

Je,kuna Ukweli wowote?

Mlale Unono 😀😀😵🌟🐼
Shida iko wapi? Si vyama huzaliwa, hukua na ikiwezekana hufa na kuzaliwa vingine?
 
Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni

Kiufupi Chadema si Wamoja tena

Je,kuna Ukweli wowote?

Mlale Unono [emoji3][emoji3][emoji43][emoji93][emoji209]
Hata ccm ina mgawanyiko na si wa leo wala jana na ni chama kikongwe iweje cdm!
 
nijuavyo tundu lisu na samia wote ni wamoja wana ajenda moja, wametoka mbali, wote ni wakenya na warwanda na zanzibar pia if you know what i mean sijui khs mbowe, lkn kama kuna usaliti wowote dhidi ya chadema culprit ni tundu lisu …

What it mean???? Hicho ni kiingereza cha mtu aliyesoma kweli? Kwa nini usiandike kiswahili?
 
Ni sawa na si jambo la ajabu maana ata ccm waliwai gawanyika zaidi ya vipande viwili, timu lowassa na timu magu, timu mwigulu

Uzuri CCM ni chama kubwa hata likigawanyika na akina Lowassa na akina Sumaye na akina Nyalandu wakihama kwa mgawanyiko huo kesho utakuta wamerudi pale pale, ndiyo maana kuing’ia CCM hata kwa mtalimbo wa punda haiwezekani!
 
Uzuri CCM ni chama kubwa hata likigawanyika na akina Lowassa na akina Sumaye na akina Nyalandu wakihama kwa mgawanyiko huo kesho utakuta wamerudi pale pale, ndiyo maana kuing’ia CCM hata kwa mtalimbo wa punda haiwezekani!

Ni kweli ndio maana pia wanatumia nguvu, madaraka na fedha kutolitoa taifa katika umasikini kwa zaidi ya miaka 40
 
Inawezekana maana katika maisha haya usimuamini kabisa mtu mwenye malyenge I.e macho kama yale ya Mbowe na Kova. Hawaaminiki kabisa pia yule mwingine ana uchungu na Roho ya malipizi baada ya damu yake kumwagika pale Dodoma so anataka na damu ya watanzania wengine zimwagike.

Ujana
 
Inawezekana maana katika maisha haya usimuamini kabisa mtu mwenye malyenge I.e macho kama yale ya Mbowe na Kova. Hawaaminiki kabisa pia yule mwingine ana uchungu na Roho ya malipizi baada ya damu yake kumwagika pale Dodoma so anataka na damu ya watanzania wengine zimwagike.
Wewe sio mzima
 
Nilijuaga CHADEMA itakufa baada ya Zito na Slaa kutoka but haikuwa hivo.

Hata itokee nini sidhani kama hawa jaamaa watakuja vunjika kabisaaa kabisaa
 
Back
Top Bottom