acha kumtukana rais wee nguchiroMuulize huyo takataka mama yenu.
Wewe na yeye ni matahiraacha kumtukana rais wee nguchiro
Ndio kukua hukoKiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni
Kiufupi Chadema si Wamoja tena
Je,kuna Ukweli wowote?
Mlale Unono [emoji3][emoji3][emoji43][emoji93][emoji209]
We haya umeyatoa wapi?wote ni wakenya na warwanda na zanzibar pi
ww Inawezekana ni mchawi[emoji849]Inawezekana maana katika maisha haya usimuamini kabisa mtu mwenye malyenge I.e macho kama yale ya Mbowe na Kova. Hawaaminiki kabisa pia yule mwingine ana uchungu na Roho ya malipizi baada ya damu yake kumwagika pale Dodoma so anataka na damu ya watanzania wengine zimwagike.
nimepigwa ban kwaajili ya nyuzi yanye tone kama hii alhamisi ilopita, nikajiuliza hivi kulikoni? kumeguka huko kwa hawa ndugu zangu, i saw it coming on a very high speed....Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni
Kiufupi Chadema si Wamoja tena
Je,kuna Ukweli wowote?
Mlale Unono 😀😀😵🌟🐼
Ndio sababu Shujaa Magufuli hakutaka kuwalealea!Maza CHADEMA inamtesa sn, jamaa wapo mbele ya wakati
Yuko wapi sahivi?Ndio sababu Shujaa Magufuli hakutaka kuwalealea!
We haya umeyatoa wapi?
Nakushauri Rais wangu Samia Suluhu wapige ban watakuzoea
Propaganda. Kama ni hivyo, basi kipande kimoja kingeonekana pale! Au vipande vyote havikupenda kuwepo pale?Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni
Kiufupi Chadema si Wamoja tena
Je,kuna Ukweli wowote?
Mlale Unono 😀😀😵🌟🐼
Kwahiyo Samia ni Mnyarwanda?movement yao ilianzia huko hata fwatilia mienendo yao utaona tu kila siku wako huko kenya au rwanda hata yanga iko rwanda pia nani kaipeleka, yule mwingine naye aliibukia mpakani mwa rwanda baada ya waraka wa tec ktk na kuongelea “udini”, aliwafwata nini huko ?
Watu kama wewe ndo mnafanya wanaCCM tuonekane wapumbavu. Toa hoja na sio kumkejeli mtu kwa ulemavu wake. Huna ndugu au rafiki mlemavu? Acha upumbavu wako.Inawezekana maana katika maisha haya usimuamini kabisa mtu mwenye malyenge I.e macho kama yale ya Mbowe na Kova. Hawaaminiki kabisa pia yule mwingine ana uchungu na Roho ya malipizi baada ya damu yake kumwagika pale Dodoma so anataka na damu ya watanzania wengine zimwagike.
Kwahiyo Samia ni Mnyarwanda?
Aliko ndesaYuko wapi sahivi?
Huyo kafirisika kisiasaWatu kama wewe ndo mnafanya wanaCCM tuonekane wapumbavu. Toa hoja na sio kumkejeli mtu kwa ulemavu wake. Huna ndugu au rafiki mlemavu? Acha upumbavu wako.