terabojo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 215
- 45
Wana JF kwa ulewa wangu kidogo wa mawasiliano ya simu za mkononi ni kwamba mtu ye yote ambae anataka kutangaza/kusambaza ujumbe wo wote (wa kheri/kibiashara kwa wote wenye simu za kampuni fulani) anaweza akakubaliana na kampuni husika na wakiridhika na kulipwa wakautuma wao (kampuni ya simu) na nadhan TCRA pia wanaweza kumpatia mtu au kampuni ikatuma ujumbe -. Nilipata ujumbe kutoka TAKUKURU wiki kama 3-4 zilizopita na nadhani walifuata utaratibu kama huo hapo juu. LOGICALL then ni kwamba mkuu wa kaya na watu wake wametumia mbinu hizo na kuweza kusambaza ujumbe mbovu/mchafu. wasitake kutufanya wajinga eti wanachunguza! wanajua chanzo na lengo ILA lengo lao halitofanikiwa kwani watanzania walio wengi sasa hatudanganyiki.