commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
wakuu saalaamu
naomba wale wana ccm wanijuze je ccm imebaki safi baada ya kuondoka lowassa?? Yaani huko ccm mchafu alikuwa lowassa tu. Kama kweli alikuwa mchafu huyu tu mbona hawamfikishi mahakamani hadi leo kama kweli alilitia taifa hasara??/
katika ile list of shame ya dr. Slaa, aliwataja mafisadi papa 11 akiwemo jk na lowasa
sasa je lowasa kuondoka kwakwe ccm imebaki safi, hao 10 waliobaki wako wapi??
Hawa watu wako chama gani, wameshindwa kuchukua hatua stahili kuthibiti mambo mbalimbali,
1. Jk........ Richmond, epa, madawa ya kulevya, escrow..mikataba feki ya kichina, ya gesi na mafuta
2. Mkapa....... Uuzwaji holela wa viwanda zaidi ya 70 nchi nzima (ubinafsishaji), na kujimilikisha kiwira
3. Karamagi..... Kuusika na mikataba feki ya madini
4. Msabaha.....mikataba feki ya mafuta, gesi na wanyama pori
6. Chenge (nyoka wa makengeza)..... Mikataba lukuki feki inayolitafuna taifa
7, tibaijuka..... Vibari feki vya ardhi, ishu ya escrow, na ramani feki za kigamboni.
8. Madabida.......ishu ya arv feki
9. Magufuli...kudanganya bunge kwa bajeti feki ambayo haikutumika kujenga barabara (cag-ripoti), kuuza nyumba za serikali kwa vimada, na kufanya maamuzi ya sifa yaliyoligharimu taifa
10.ngereja... Mikataba ya feki ya madini
11.filemoni luhanjo......
12.wakurugenzi wengi wanaokula pesa za halmashauri.....................
Je ccm ni safi???
naomba wale wana ccm wanijuze je ccm imebaki safi baada ya kuondoka lowassa?? Yaani huko ccm mchafu alikuwa lowassa tu. Kama kweli alikuwa mchafu huyu tu mbona hawamfikishi mahakamani hadi leo kama kweli alilitia taifa hasara??/
katika ile list of shame ya dr. Slaa, aliwataja mafisadi papa 11 akiwemo jk na lowasa
sasa je lowasa kuondoka kwakwe ccm imebaki safi, hao 10 waliobaki wako wapi??
Hawa watu wako chama gani, wameshindwa kuchukua hatua stahili kuthibiti mambo mbalimbali,
1. Jk........ Richmond, epa, madawa ya kulevya, escrow..mikataba feki ya kichina, ya gesi na mafuta
2. Mkapa....... Uuzwaji holela wa viwanda zaidi ya 70 nchi nzima (ubinafsishaji), na kujimilikisha kiwira
3. Karamagi..... Kuusika na mikataba feki ya madini
4. Msabaha.....mikataba feki ya mafuta, gesi na wanyama pori
6. Chenge (nyoka wa makengeza)..... Mikataba lukuki feki inayolitafuna taifa
7, tibaijuka..... Vibari feki vya ardhi, ishu ya escrow, na ramani feki za kigamboni.
8. Madabida.......ishu ya arv feki
9. Magufuli...kudanganya bunge kwa bajeti feki ambayo haikutumika kujenga barabara (cag-ripoti), kuuza nyumba za serikali kwa vimada, na kufanya maamuzi ya sifa yaliyoligharimu taifa
10.ngereja... Mikataba ya feki ya madini
11.filemoni luhanjo......
12.wakurugenzi wengi wanaokula pesa za halmashauri.....................
Je ccm ni safi???