Je, CCM imebaki safi baada ya kuondoka Lowassa?

Je, CCM imebaki safi baada ya kuondoka Lowassa?

ccm hawana matatizo utalala nao taratibu mpaka unatoka mwenyewe kama fisadi papa alivyotoka mwenyewe madabida kesi yake ipo mahakamani karamagi kishatoka yupo caf na ccm ikipata dola inaandaa wale mnaodai wapelekwe mahakamani watapelekwa na ndio mafisadi wanajaribu kutumia nguvu kubwa kutaka uongozi
 
CCM itakua safi baada ya magufuri kushika dola. atafagia genge lote la JK na masalia ya genge la mkapa.!!!!
 
Nivizuri ukajiuliza pia wengi wa hao uliowataja ushirika wao unaratibiwa au uliratibiwa na nini chini ya nani; usikwepe kujiuliza maswali magumu!
 
CCM itakua safi baada ya magufuri kushika dola. atafagia genge lote la JK na masalia ya genge la mkapa.!!!!

Swadakta! Tena pole pole bila kusababisha mtikisiko!
 
Yaani tukiweka pembeni ushabiki wa kivyama na kujadili mali zetu zilizopotea na zinazozidikupotea, tutakuwa tunafanya vizuri!. Mwizi/fisadi yeyote ni mtu mbaya sana na yupo tayari ahalarishe/apoteze maisha ya mwananchi yeyote ili yeye akipate anachokitaka!. Hawa fisadi's wa taifa letu nadhani wanataka wawauwe wananchi wote tuliopo ili wapate mali zilizopo nchini pasipo kusumbuliwa na mtu, nadhani sasa kwakuwa sisi wananchi wa chini hatuwezi kuwauwa fisadi wanaotukandamiza basi tunaomba rais atakaye jitoa km YESU ili kuwakomboa wananchi, rais huyo AWAUWE mafisadi wote ili wananchi wasalimike,kwa njia yoyote ile awauwe eidha kwa kuwafilisi mali zao na kuwapeleka mahakamani au kuwanyonga kabisa!
NB: ni bora nchi ikabaki na watu milioni 45+ na kupoteza watu 11, wananchi tumebaki kumtegemea Mungu afanye kila jambo hata ambalo lipo kwenye uwezo wa RAIS, nchi imekosa mtetezi wa haki. Eeh Mungu tunusuru waja wako! Ameen!
 
Hilo swali mulizen Lizabon aka makonda
 
Last edited by a moderator:
Tangu makada kadhaa wa CCM kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwemo Edward Lowassa, Fredrick Sumaye, Msindai, Mgeja, Mungai, Masha, Onesmo Nangole na wengine wengi.

Wakati watu hawa wapo CCM, watanzania na vyama vya upinzani vilikua vinanena maneno yote machafu kwa chama cha mapinduzi.

Na nikupitia maneno hayo mabaya kutoka kwa Watanzania kilichofanya CCM itumue mamlaka yake kuwaengua makada wote wenye kashfa za wizi,ufisadi na ulanguzi kwenye mbio za kusaka kuteuliwa kupeperusha bendera ya ccm kugombea urais.

Baada ya kukatwa watu hao wawili (Lowasa na Sumaye) waliamua kukimbilia upinzani huku wakifuatwa na wanachama wa CCM wachafu kwelikweli, hadi hatua hii wanaccm wachafu wamekimbilia upinzani na hivyo kukiacha CCM kikiwa salama na hivyo kuwafanya upinzani kushindwa kuisemea agenda ya ufisadi kwani mgombea wao ukawa ndio baba na mwalimu wa ufisadi tanzania.

Kwa sasa niwaambie watanzania kuwa chama kilichobaki salama CCM ndicho cha kupewa nafasi wakalete maendeleo na mapinduzi ya kweli.

 
Jifarijini kuna mafisadi 11 wamebaki bado ridhiwani ameongezeka kwenye list of shame tibaijuka,ngeleja muhongo.
 
------ mwaka huu mnalala chali ikulu ndiyo hivyo ni mara ya mwisho kwa ccm bye bye
 
mwizi mkubwa sana huyu lowassa hatufai mimi nitamkataa mpaka kieleweke
 
jitekenyeni tu, haaah haaah mtauona motowa ukawa, asante lubuva leo umesema kura zote zibandikwe kituoni, udiwani ubung na urais, sijui mtachakachua vp
 
Back
Top Bottom