Je, Captain Tesha ni nani?

Naomba full video
 
Acha kujipa matumaini..
Samia ndipo kaondoka hivyo..
Kapteini katoa onyo, ole wake askari yeyote apige mwananchi...

Hapo ulipo jiandae chawa wewe...

Askari hawana uwezo kuzidi nguvu ya wananchi.
wewe tarehe 29 toka acha kelele
 
Chap utatoka waraka wa kumkana, au watasema ana changamoto ya afya ya akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…