Je, bikra ya mwanamke inaweza kutoka bila damu?

Hakuna faida yoyote... huyo niliyesema angejisifu ni kutokana na kuwa miongoni mwa wanaoamini ipo faida ya kumbikiri mtu
itakua ulikua mtulivu sana mtaani au school then aliekubikiri ni wale wenye misifa flani hivi. Hongera kwa kuwa hakujua maana mtaa mzima ungejua ..
 
Ndio Mkuu, Bikira yaweza toka bila damu.

Kinachosababisha kutokwa damu wakati wa tendo la ngono mara ya kwanza ni kupasuka au kutoboka kwa ka-ngozi laini kanakoziba mlango wa kuingia ukeni.
Na Kutoboka kwake si mara zote husababisha aidha maumivu au kuvuja damu kwa m/ke, kwa maana kanaweza kutoboka au kupasuka M/ke mwenyewe asijue. Japo kuna wakati kakitoboka husababisha kuvuja damu kidogo au maumivu na vilevile kuna wakati hakutaonekana dalili zozote za damu wala maumivu.

Binafsi mpaka sasa nmewabikiri mabinti wa4 na ni mmoja tu kati yao ndo nmeshuhudia damu yake.


Sasa Utajuaje kama ni Bikira??
Kumjua m/ke Bikira ni pale unapoingiza mb** ndani ya k*ma yake, kama ni Bikira utakutana na ugumu natural wa mb** kuingia ukiambatana na kilio cha mwenye Bikira akilalamika kuumia.

Ile njia huwa ni ndogo sana ya kutosha kuingiza kidole cha shahada japo nacho huingia kwa tabu sana.

Kitu natural utajua tu, lakini kwanza ni lazima uwe ushawahi kutana nayo kabla ndipo utaweza kueleza tofauti.

Bikira u will know when u see it!
Wadau wa Picha (Huwa hawaamini mpaka waone) Guseni chini hapa

Bikira 1


Bikira 2


Bikira 3


Bikira 4 (HD)
 
"Bikra wireless huwa hazitoi damu, huwa zinatoa kemikali inayofanana na ute ute unaotoka wakati ukimuandaa kimapenzi. Ute huo kitaalam unaitwa Virgntrophieza Acroloposiphynioea"
Uncle Shamte,1864
 
Back
Top Bottom