zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,081
- 28,742
- Thread starter
-
- #421
Sijui unamwandikia nani ila hizi sio lugha za JF intelligence..... Hapa ni hoja juu ya hoja so ukiona mada imezidi uelewa wako we Nenda jukwaa la siasa mbishane kuhusu Ccm na CHADEMA hizo ndio level zenu huku waachie watu makini wanaotaka kujifunza na kuelewa concept muhimu za maisha.
Sikuchoshi.Mkuu mie unanichosha tu sasa ulitegemea nilete hapa maandishi ya kijerumani ya mwaka 1522??? Are you serious?? Hiyo ni tafsiri ya DIBAJI ya Luther Bible ya kwanza kabisa. Mbona Yesu aliishi miaka 2000 iliyopita ila Biblia unayosoma ya kiswahili imekuwa copy and pasted 1970s hapo ila bado unasoma na kuiamini na wala hujawahi hoji wakuletee original maneno aliyosema Yesu ?? Huoni una double standards
Issue hapa ni kwamba tukio hilo lipo wewe unaweza hata kugoogle au kwenda maktaba au kuuliza wachungaji wako kuhusu EPISTLE OF STRAW hiyo nadharia ni ya Martin Luther na utakutana na vitabu,articles vyote na journals ambazo zimechambua hili swala sasa kama hutaki nicopy and paste vitabu vilivyoandika sijui unataka nitoe wapi facts???
Au otherwise kanunue Luther Bible original version iliyoandikwa kijerumani usome dibaji yake ukikuta nachosema hakipo ndio uje ubishe sio unabisha kitu ambacho dunia nzima inajua
Hiyo DIBAJI Imeonekana mbona na imeandikiwa article na waandishi kibao toka martin luther akiwa hai ila mimi ndio nmetumia hiyo niliyoweka ila haimaanishi ndio wa kwanza ndio maama nimekwambia katafute maana ya EPISTLE OF STRAW ndio utaniambia kama nachosema humu nimetunga au lah ila sitegemei unabisha bisha tu vitu ambavyo kila mtu anajua ni sawa na kusema Nyerere alikuwa rais wa Tanzania alafu uombe ushahidi????Sikuchoshi.
Kwa miaka 446 hakuna aliyeona hiyo DIBAJI? mpaka huyu jamaa uliyemleta hapa ndio ameliona hilo?
And by the way, nikumbushe kitu hapa, ili twende sawa.
Umesema Luther Bible. Je, Luther alitafsiri, na kutoka Bible ipi kuipata hiyo yake unayofanyia reference?
Usihamishe mada embu jibu swali amri 10 pekee ndio zinampeleka mtu mbinguni hata asipozaliwa upya wala asipomkiri Yesu wala kujazwa Roho mtakatifu??
Agano jipya linasema Sheria za musa ni kivuli tu cha mambo mazuri yajayo ambayo reality ya hicho ni Yesu kristo ambaye ndio alikuja kuitimiza..... alafu ww unasema Amri 10 pekee zinatosha ina maana unampinga paulo aliyeziita KIVULI !!
Kazi kwelikweli
Usihamishe mada embu jibu swali amri 10 pekee ndio zinampeleka mtu mbinguni hata asipozaliwa upya wala asipomkiri Yesu wala kujazwa Roho mtakatifu??
Agano jipya linasema Sheria za musa ni kivuli tu cha mambo mazuri yajayo ambayo reality ya hicho ni Yesu kristo ambaye ndio alikuja kuitimiza..... alafu ww unasema Amri 10 pekee zinatosha ina maana unampinga paulo aliyeziita KIVULI !!
Kazi kwelikweli
Embu acha kujichanganya wewe mwenyewe umesema Nitaje Biblia ambayo haina amri 10 za Mungu ikimaanisha kwamba hata vitabu vingine vikikinzana ila amri 10 zipo constant basi hzio biblia ni halali.Nilikuwa na nia NJEMA kujua maradhi yako ili nikutibu kwa daawa sawia hukutaka! Sasa nakujibu kisilamu silamu! AMRI KUMI UKIZIFUATA KIKAMILIFU!; UMEMKIRI YESU, UTAZALIWA UPYA, UTAJAZWA ROHO MTAKATIFU! UKIMKIRI YESU; UMEZIFUATA AMRI KUMI PIA UMEJAZWA ROHO MTAKATIFU NA KUZALIWA UPYA! UKIZALIWA UPYA! NDIO UMEZIFUATA AMRI KUMI ZA MUNGU, UMEMKIRI KRISTO, UMEJAZWA ROHO MTAKATIFU! HABARI NDIO HIYO KUHUSU AMRI.10 (Vise versa) KUNA PIN HAPO YA KUKUZUIA KWENDA PEPONI?? SASA NAMBIE WAPI NIMEMPINGA PROF PAULO MTUME WA YESU??
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu acha kujichanganya wewe mwenyewe umesema Nitaje Biblia ambayo haina amri 10 za Mungu ikimaanisha kwamba hata vitabu vingine vikikinzana ila amri 10 zipo constant basi hzio biblia ni halali.
Ndio sasa nimekuhoji kwamba ukiwa na Biblia kama ya Waisrael wa samaria ambao walikuwa na Bible ya vitabu 5 tu tena vyote vya Torati ya musa. Je inawatosha wao kwenda peponi ilihali hawavitambui kabisa vitabu vya injili wala mafundisho ya Yesu n.k???
KAMA HAWAMTAMBUI YESU!; YESU ALIWATAMBUA NA KUWAFIKIA KUPITIA HIVYO VITABU VITANO...
Hoja yangu ni kwamba torati pekee haitoshi ndio maana paulo alisema ni kivuli tu cha mambo mazuri yajayo na uhalisia ambao kibiblia ndio Yesu kristo sasa unapokomaa kusema amri 10 zinatosha ilihali paulo kasema ni kivuli tu nikueleweje kama sio kumpinga paulo!?
MAELEZO YOTE NILIYOKUWEKEA KTK POST YANGU ILIYO PITA BADO HUJAELEWA! UMENG'ANG'ANIA TU UNAMPINGA PAULO! HUU UTARATIBU WA IMANI YA KIKRISTO MUANZILISHI NI YESU MWENYEWE! HAKUNA WA KUVUNJA HIYO CHAIN! NA PAULO KAONGEA YA YESU!
Wewe kama think tank na mtetezi mkuu wa wakristo humu jukwaani jitahidi uwe unasoma maandiko kabla ya kuingia kwenye mjadala wowote ule ili uwe na uhakika na unachosema sio kupotosha tu unajishushia sana credibility.
Hiyo DIBAJI Imeonekana mbona na imeandikiwa article na waandishi kibao toka martin luther akiwa hai ila mimi ndio nmetumia hiyo niliyoweka ila haimaanishi ndio wa kwanza ndio maama nimekwambia katafute maana ya EPISTLE OF STRAW ndio utaniambia kama nachosema humu nimetunga au lah ila sitegemei unabisha bisha tu vitu ambavyo kila mtu anajua ni sawa na kusema Nyerere alikuwa rais wa Tanzania alafu uombe ushahidi????
Alitafsiri Biblia ya kilatin ambayo ilitafasiriwa na padre Jerome na ilikuwa inasomwa na viongozi tu wa kanisa katoliki washirika hawakuwa na access kabisa so luther ndio alitumia hiyo Vulgate pamoja na source zingine kama Hiyo septuagint,masoretic texts na textus receptus ili kupata taarifa zaidi za utafsiri kutoka kiebrania/kigiriki/kilatin ili apate maana ya maneno atakayoweka kwa lugha ya kijerumani.
Hiyo Biblia aliyoisoma ilikuwa na vitabu 73 ila alipotafsiri aliamua kuvifuta hivo 7 ambavyo aliviona ni apocrypha...... Na vilivobaki 66 aliamua kuvitenga kabisa vitabu kama 4 huku akiandika kwenye Dibaji kuwa HAVIFAI kuwa kwenye Biblia maana havijavuviwa na Roho mtakatifu.
Na ndio hoja yangu ikaanzia hapo kuwa je wakati anavitenga utasemaje Biblia zote ni sawa wakati wanakinzana misimamo juu ya baadhi ya maandiko??? So jikite hapo hayo mengine unaweza muuliza Pastor wako jumapili ndio utamuelewa akikupa jibu tofauti na langu kuhusu Luther Bible tafuta hii account JF i promise.
BIBLIA SAHIHI NI BIBLIA! SHAHIDI allah...nikupe Ushahidi mwingine?Jiangalie mwenyewe kwanza na hizo amri zako kumi baadaye uje kwenye Thread , BIBLIA IPI NI SAHIHI ???
Kuwa sawa tunapoongelea ni machoni kwa Mungu ambao wanamuabudu si ndio sasa toka lini giza na nuru vikawa sawa mbele ya Mungu?? Kitendo cha maandiko kukinzana na kukosoana haiwezi kuwa sawa mbele ya Mungu hata siku moja kwahiyo ni vizuri kwanza tukubaliane kwamba havipo sawa MBELE ZA MUNGU hapo ndio mjadala uendelee kuhusu ipi ni sahihi maana kama unadai zipo sawa ina maana zote zipo SAHIHI hivyo mada imeishia hapo!! Yaani mpaka Biblia inayosema Abraham alipewa gauni la shetani nayo ipo sahihi!! Biblia inayosema malaika wa Mungu tunaoaminishwa ni watakatifu eti walibaka wanadamu!! Nayo ipo sawa??Bado jibu langu linabaki pale pale.
VIKO SAWA KWA MTIZMO NA UELEWA WA MTUMIAJI.
Swali Wewe una amini nini ukiwa kama Mkristo. kabla sijaomba jibu la mtizamo wako Biblia ipi ni sahihi/kweli.
Shida yako unajifanya unajua wakati huna unalo fahamu ndio maana nimekushauri uwe unasoma kwanza kabla ya kuingia kwenye mijadala ya kitaaluma.....Think tank ndio nini?? YESU MWENYEWE yupo HAI ndie MWALIMU NA MTETEZI WETU! JUKUMU alilo TUPA ni Kuihubiri INJILI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yako unajifanya unajua wakati huna unalo fahamu ndio maana nimekushauri uwe unasoma kwanza kabla ya kuingia kwenye mijadala ya kitaaluma.....
Sasa hapo nmekuuliza samaria waliamini vitabu 5 tu vya Biblia yaani Torati na Yesu hawamtambui Je wataenda mbinguni kisa tu wameshika amri 10 za Mungu???
Wewe unajibu eti kupitia hivo vitabu 5 Yesu aliwafikia ilihali Biblia inasema pasipo kumkiri Yesu na kuzaliwa upya na kujazwa Roho huwezi kwenda mbinguni!! Kwahiyo ina maana Yesu alikuwa hana haja ya kuja sababu hata wasipomtambua bado wanaenda mbinguni?
NB: Uje na hoja sio screenshots za Quran
Naona hoja imekushinda kabisa..... Sasa ushaambiwa Israel ya samaria walitumia vitabu 5 tu vya Musa na vingine vyote hawatambui ikiwemo agano jipya alafu bado unasema wamemjua Yesu kupitia humo!! Kama sio upotoshaji ni nni??Unarudia ujinga ule ule! Licha ya kukufundisha! Ufahamu kwanza kwamba Biblia Takatifu ni Kitabu cha IMANI na maana ya IMANI ni...wewe unalinganisha na kuihoji Biblia Takatifu sawa na kitabu cha hesabu! Nimekwambia KUPITIA Biblia Takatifu Yesu Amemfikia kila Kiumbe chake yeye Ni ALFA NA OMEGA! AMRI.10 ZA MUNGU, KUMKIRI YESU, KUZALIWA UPYA!; NI MDUARA AMBAO HUWEZI KUUVUNJA KTK IMANI YETU!View attachment 1016338
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hoja imekushinda kabisa..... Sasa ushaambiwa Israel ya samaria walitumia vitabu 5 tu vya Musa na vingine vyote hawatambui ikiwemo agano jipya alafu bado unasema wamemjua Yesu kupitia humo!! Kama sio upotoshaji ni nni??
Niambie wapi kwenye Torati inaposema ukimkiri Yesu ndio utaenda mbinguni?? Kama hamna hao wanaotumia Samarian Bible/Torah watajuaje kuhusu hilo??
Kajisomee urudi na hoja
Hapo unatakiwa ujue neno gani lililokuwa linaagizwa, ni hayo maagizo ndiyo wanaagizwa wasiyaongeze wala kuyaunguza. Hata mwenye kitabu cha Ufunuo anaelekeza kuhusu maneno yaliyomo kwenye Ufunuo, hakuna alipotaja bibliaTorati 12:32
32 Neno niwaagizalo lo lote liangalieni kulifanya; usiliongeze, wala usilipunguze.
Je huu mstari unaopinga kupunguza au kuongeza maneno kwa Bible unauzungumziaje ?
Swali langu umelieelwa ila kwa hila zako unakuja na jibu. NB: Kuhusu msimamo wangu mie naamini Biblia 99% hazikujumuishwa kwa uweza wa Roho mtakatifu bali wahuni wachache walitumia akili zao kupanga nini tusome na kipi tusisome ndio maana vitabu vinakinzana.Kuwa sawa tunapoongelea ni machoni kwa Mungu ambao wanamuabudu si ndio sasa toka lini giza na nuru vikawa sawa mbele ya Mungu?? Kitendo cha maandiko kukinzana na kukosoana haiwezi kuwa sawa mbele ya Mungu hata siku moja kwahiyo ni vizuri kwanza tukubaliane kwamba havipo sawa MBELE ZA MUNGU hapo ndio mjadala uendelee kuhusu ipi ni sahihi maana kama unadai zipo sawa ina maana zote zipo SAHIHI hivyo mada imeishia hapo!! Yaani mpaka Biblia inayosema Abraham alipewa gauni la shetani nayo ipo sahihi!! Biblia inayosema malaika wa Mungu tunaoaminishwa ni watakatifu eti walibaka wanadamu!! Nayo ipo sawa??
Embu ukubali kwanza hapa ndio mjadala uendelee tutafute ipi ni sahihi
NB: Kuhusu msimamo wangu mie naamini Biblia 99% hazikujumuishwa kwa uweza wa Roho mtakatifu bali wahuni wachache walitumia akili zao kupanga nini tusome na kipi tusisome ndio maana vitabu vinakinzana
Ukitaka kuliona hilo ndio maana unakuta biblia inayosomwa zaidi ya King james version ilitafsiriwa kuingia kiingereza kwa amri na ufadhili wa SHOGA!! Yaani Mfalme James 1 Sasa utasema hapo aliongozwa na Roho mtakatifu?? Na kwa sasa Biblia ambayo ipo accurate kabisa kwenye tafsiri na ya pili kwa kusomwa zaidi yaani NIV nayo imefadhiliwa na Zondervan ambao nao wanachapisha majarida ya kusupport ushoga alafu mtu useme waliongozwa na Roho itahitaji ujitoe ufahamu kidogo!!
Amka mkuu
Padri mgen Wadanganye kondoo kanisani lakini sio hapa jf
Hii kitu imewapita? Namsalimieni tu.wewe mwalimu wako Mkuu ni allah! Kwa nini usianzie kwa allah aliye kufundisha...allah ameelewa na kuwaele mchana kweupe?! Kwa nini unabagua na huamini? au wewe ni mjuzi zaidi ya allah na muhammad kwa umoja wao? Sema bro! Ili tubague na tukuamini wewe!
Tusitoke nje ya mada zitto junior hata akiabudu mungu wa makopo bado haijibu swali lake je Biblia ipi ni halisi..... Nmeshakupa msimamo wangu juu ya Biblia ambayo ipo ndani ya mada hayo mengine fungua uzi au uende chit chat kwenye hii thread ntakujibuSwali langu umelieelwa ila kwa hila zako unakuja na jibu. NB: Kuhusu msimamo wangu mie naamini Biblia 99% hazikujumuishwa kwa uweza wa Roho mtakatifu bali wahuni wachache walitumia akili zao kupanga nini tusome na kipi tusisome ndio maana vitabu vinakinzana.
Sijakuuliza imani kwenye vitabu.
Nataka utuambie IMANI YAKO ni ipi? Ngoja niweke hivi. Wewe unaabudu Mungu wa imani gani?
Oooh vizuri kumbe Biblia ni kisiwa?? Kwahiyo hata Amri 10 za Mungu walipewa wayahudi hivo sisi hazituhusu?? Hata maagizo mengi paulo aliwapa wagalatia sijui waefeso kumbe hazituhusu sisi wajita na wachagga!!Hapo unatakiwa ujue neno gani lililokuwa linaagizwa, ni hayo maagizo ndiyo wanaagizwa wasiyaongeze wala kuyaunguza. Hata mwenye kitabu cha Ufunuo anaelekeza kuhusu maneno yaliyomo kwenye Ufunuo, hakuna alipotaja biblia
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye mada.... kama imekushinda sema tu sio kudandia hoja mfu.
Nimekusalimia tu ndugu Mgen.YESU KATUFUNDISHA NAMNA YA KUSALI! wee hayo unaona mapya?! Mbona Yesu Amesha tufundisha kupata ufumbuzi kwamba hayo ni magugu! View attachment 1016921View attachment 1016938
Sent using Jamii Forums mobile app