Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,814
- 10,834
Amepiga goli dk ya 90,jamaa kaguduka guduuuu,!!!
Tangu tar 17.3.2021 hajawahi kuongea neno. Unatarajia arudi ccm wakati 2025 hataruhusiwa kuchukua fomu. Mwaka 2020 CCM waliprint fomu moja ,mwaka 2025 wataprint form ngapi?Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba aliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo mh Bernard Membe atarejea CCM wakati wa mkutano mkuu maalum wa chama hicho mwishoni mwa mwezi huu.
Ngoja tuone.
This is no news at all! Arejee asirejee juu yake na wanaomzungukaKuna taarifa zisizo rasmi kwamba aliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo mh Bernard Membe atarejea CCM wakati wa mkutano mkuu maalum wa chama hicho mwishoni mwa mwezi huu.
Ngoja tuone.
Zito mhuni sanIla membe hatokuja kumsahau zitto kwa kumpandisha juu ya meza eti ndio jukwaa
Nina hakika kabisa bwana yule ni lazima alituma ile mamlaka ya ushuru kuzuru vitega uchumi vyake. Kwa vitega uchumi alivyo nayo hawezi kuwa na hali mbaya kifedha. Hata aliposafiri kipindi cha kampeni nina wasiwadi kama kuna maslahi yake nje ya nchi iliguswa.Bila ya shaka Kikwete na Mkewe wanampigia debe arudishwe ili akagange njaa. Nasikia hali yake kifedha si nzuri hivyo kama kweli atarudi basi sidhani kama atakosa teuzi kubwa ya ubalozi katika nchi za BEBERUS au hata UN.
MojaTangu tar 17.3.2021 hajawahi kuongea neno. Unatarajia arudi ccm wakati 2025 hataruhusiwa kuchukua fomu. Mwaka 2020 CCM waliprint fomu moja ,mwaka 2025 wataprint form ngapi?
Hahahahahahaj Ile picha kila nikikumbuka huwa nacheka SanaIla membe hatokuja kumsahau zitto kwa kumpandisha juu ya meza eti ndio jukwaa
Akirudi ana lake jambo, sio kwa nia njema...Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba aliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo mh Bernard Membe atarejea CCM wakati wa mkutano mkuu maalum wa chama hicho mwishoni mwa mwezi huu.
Ngoja tuone.
Walizolimbikiza kipinde kile?Nina hakika kabisa bwana yule ni lazima alituma ile mamlaka ya ushuru kuzuru vitega uchumi vyake. Kwa vitega uchumi alivyo nayo hawezi kuwa na hali mbaya kifedha. Hata aliposafiri kipindi cha kampeni nina wasiwadi kama kuna maslahi yake nje ya nchi iliguswa.
Yaani walifinywa vizuri na kisu cha moto kilichowekwa motoni 200 degrees Celsius.
Yule Bwana kaumiza wengi sema wanahemea chinichini kiume. Wote wakitoka hadharani itakuwa ni hatari kubwa Yaani credibility ya Bwana yule ni Yai Viza.
Huyu bwana ni tajiri ujue hivyo. Tatizo mnataka watu waishi kama mashetani🤣🤣🤣🤣. Kwa vyeo alivyopitia hasa uke UDG na mambo ya nje kipindi kile hawezi kukosa noti. Si unajua watu walikuwa wanabadilishana safari bags angani??Walizolimbikiza kipinde kile?
Ushahidi tafadhaliAlisababisha Mangula kuwekewa sumu
Membe alipishana na sinia la pilau kwenye sherehe. Uwezekano ni mkubwa sana umakamu angepewa yeye kama angekuwa bado yuko CCM. Hata hivyo akirudi kuna uwezekano mkubwa akapewa cha kufanya kwa sababu Kikwete kwa sasa ana ushawishi mkubwa sana ndani ya CCM.Anarudi baada ya kifo cha bwana yulee.
Nina hakika kabisa bwana yule ni lazima alituma ile mamlaka ya ushuru kuzuru vitega uchumi vyake. Kwa vitega uchumi alivyo nayo hawezi kuwa na hali mbaya kifedha. Hata aliposafiri kipindi cha kampeni nina wasiwadi kama kuna maslahi yake nje ya nchi iliguswa.
Yaani walifinywa vizuri na kisu cha moto kilichowekwa motoni 200 degrees Celsius.
Yule Bwana kaumiza wengi sema wanahemea chinichini kiume. Wote wakitoka hadharani itakuwa ni hatari kubwa Yaani credibility ya Bwana yule ni Yai Viza.
Ili afanye nini? Yeye ndio anaitaka CCM. Kwani kabla CCM kupitia JK haijamuibua ulikuwa unamjua?Kumbe bado mnamuhitajii huyu mbobezii?!