waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
Mchezo robo fainal UEFA champion league wa Barcelona dhidi ya Bayern Munich.
Tumeshuhudia Barcelona wakionyesha kiwango dhaifu na kisicho ridhisha kwa kuruhusu nyavu zao kutikiswa Mara nane(8) dhidi ya mawili(2).
Swali kwenu je corona imechangia au ni ubovu wa kikosi na mbinu hafifu za Mwalimu?
Tumeshuhudia Barcelona wakionyesha kiwango dhaifu na kisicho ridhisha kwa kuruhusu nyavu zao kutikiswa Mara nane(8) dhidi ya mawili(2).
Swali kwenu je corona imechangia au ni ubovu wa kikosi na mbinu hafifu za Mwalimu?