Poleni kwa majuku ndugu zangu! Naomba kuuliza, je bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara iliyo chini ya Dr Shukuru Kawambwa itajadiliwa lini Bungeni? Nahitaji kuifuatilia ili kujua mutakabali wa Taifa kielimu.
Naomba kuwakilisha
Tarehe 15 hadi 16 mwezi Agosti, ni wizara ya mwisho mwisho kabla ya kuahirishwa kwa bunge hili la Bajeti maana baada ya kuwasilishwa kwa bajeti yake tar 17 itasomwa hotuba ya bajeti ya wizara ya fedha, tar 20 ni approprition bill 2012 na Tar 22 BUNGE litaahirishwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.