Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
hahahaaaaaaa..., jamani!! Ndo mambo yapo hv sasa!!???
Katika kifo au uhai wao ungependela kipi kuthibitisha imani yako?
Sioni sababu ya kubishia ripoti yake, or-else J.B atakuwa na matatizo makubwa sana to go through all the troubles za India na kwenda kukutana na wauwaji kadhaa hili kutunga uongo kwa mtaji huo namuamini. Na kwa sababu watu hawajafa aina maana kajitungia, hila hapa inaonekana kila kitu kwetu ni uzembe Tz, maana inafikia mpaka wauwaji nao kuwa wavivu wa utekelezaji na mbinu zao apparently sio effective. We cheki dodi Al-fyed alovyowekewa mchezo ajali ya gari lakini amna kutoka au yule Russian spy.
Hila ingesaidia kwanini Mwandosya anataka kuuliwa, maana kulikuwa na thread nyingine inasema vingine sasa huyu mwandosya ni adui waserikali au yule jamaa mwenye tender ya visima asivyochimba. Halafu kuhusu mwakyembe tuwe wa kweli kwenye hile ajali ya gari binafsi nilivyoona picha la shimo aliloingia kwenye magazeti na speed ya over 100mph kwa kweli he is lucky to be alive na ule ni uzembe ni wa dereva kuwe na lori au kusiwe lori pembeni surely you're supposed to watch where you're going na kama kuna mizengwe ya gari lingine mbele si unapunguza speed kwanza au vipi.
Sielewi cha kuchekesha hapo...facts haziwezi kuwa substituted na habari zinazotakiwa 'kuaminiwa'. Sjui kaa umensoma.
acha unafiki,uchonganishi,uzandiki na umbeya ww unapotosha watu kwa uchochezi na huo unaojifanya uchunguzi,mbona hueleweki mara unajifanya unafanya kazi TISS mara unadanganya upo DRC tukueleweje JB?Ni vigumu sana kuniamini lakini ni rahisi mno kunipinga!
Je ripoti ya madaktari pale india inasomekaje? Je mwakyembe mwenyewe anasemaje? Uhalisia wa hali yake kwa sasa ukoje? Wizara ya afya inasemaje? Serikali yake inasema? Je kila aliyelishwa sumu hufa hata akitibiwa na madaktari bingwa?
Mimi nishatoa ripoti na kwangu mimi itasimama kuwa ndio kauli na ukweli niliouona katika uchunguzi!
Mwenye ripoti ya madaktari wa india aiweke hapa!!
acha unafiki,uchonganishi,uzandiki na umbeya ww unapotosha watu kwa uchochezi na huo unaojifanya uchunguzi,mbona hueleweki mara unajifanya unafanya kazi TISS mara unadanganya upo DRC tukueleweje JB?
acha unafiki,uchonganishi,uzandiki na umbeya ww unapotosha watu kwa uchochezi na huo unaojifanya uchunguzi,mbona hueleweki mara unajifanya unafanya kazi TISS mara unadanganya upo DRC tukueleweje JB?
mkuu umeenda nje ya mada, tafadha come back to the topc