Je Babu Seya anaandaliwa kuipigia kampeni CCM 2020?

Kaulize ni kwa nini tangazo la kuwasemehe lilifanya uwanja mzima ukazizima kwa shangwe? kwa hiyo kama kunawatu wanapinga kusamehewa kwao, basi ni kikundi kidogo sana ambacho hakina madhara.
 
Kila nikisoma comment humu nazidi kuamini kweli watanzania wengi ni vichaa
 
..alitakiwa amwachie na kumtimua nchini arudi kwao DRC.

..lakini sasa anapewa attention na serekali kuzidi wasanii wetu vijana wazawa.
Siasa za kiswahili hazitabiliki hivi ukija utawala mwingine haiwezi tengua maamuzi?
 
Babu Seya na Mwanawe walikula watoto nyuma na mbele kwa zamu watoto 13.
Soma hukumu ya Hakimu Riwa , wa Kisutu ndio utaona ushahidi, tena ipo kwa kiswahili kizuri.

Watoto wengine vizazi vilitoka wengine walipewa mashine wanyonye kama koni alafu wameze wazungu weupe wakitoka kwa ujira wa pipi!

Nasema ushahidi wa kutengeneza usinge fanana.
Mtoto anaulizwa ulitiwaje anaelezea namna dyudyu inabyodinda inapakwa mafuta, inaingizwa kidogo mpaka wazungu wanatoka.
Mwwngine anaeleza bikra inavyotoka .

Hebu kuweni na utu, Mungu anawaona , acheni siasa.
Naandika hapa nikilia.

Kama mwanamke mtu mzima unafanya naye sex na analia ,tena ni wako je katoto kadogo ka malaika?


Eeh Mungu shuka lipa kisasi, maana umesema kisasi ni chako!
 
Hao jamaa si ni wakongo!?

Watafanyaje siasa na kampeni kwa ajili ya Rais wa Tanzania!?

Wakijidanganya tu kufanya kampeni nyota ya jela itawazukia asubuhi na mapema. Maana, itajulikana wazi sababu ya wao kutolewa ilikuwa ni hiyo. Period

Hiyo haikubaliki, Period.
 
Ni nani atakayemsikiliza mbakaji? Watu tunao uchungu wa ubakwaji wa wanetu halafu mnadhani tutabadilisha machungu hayo? Kama yupo aliyewadanganya na wao wakadanganyika their thinking and reasoning capacity is the same
 
..wanaofanya ngono za kawaida na watoto wa shule wanapigwa vita kwelikweli.

..lakini hawa waliofanya ngono kinyume na maumbile na watoto wadogo wa kuwazaa wanapewa heshima.

..Hii siyo CCM aliyotuachia Baba wa Taifa.
Hivi Nyerere angeweza kufanya huu uchafu wa kuita walawiti ikulu?

CCM itatupeleka pabaya sana.
Wanachagua Banyamulenge, mtu asiyeijua Tz wala historia ya Tz Leo anapewa Urais.

Outcomes ndiyo hizi,
Kuua watu, kusamehe na kuleta walawiti watoto ikulu, kuvuruga uchumi, kuwagawa watanzania kikabila/kidini, kuvuruga amani, kupandikiza chuki baina ya kabila na kabila .....

Akili za Porini kama mnyama ndiyo mtu anakuja kupewa Urais wa nchi
 
Wahuni ndivyo walivyo Mkuu hawajui vipaumbele vyao.

..wanaofanya ngono za kawaida na watoto wa shule wanapigwa vita kwelikweli.

..lakini hawa waliofanya ngono kinyume na maumbile na watoto wadogo wa kuwazaa wanapewa heshima.

..Hii siyo CCM aliyotuachia Baba wa Taifa.
 
..zipo tetesi kuwa Babu Seya ataongoza kundi la wanamuziki watakaozunguka nchi nzima kupiga kampeni kwa niaba ya CCM.

..itakumbukwa kwamba Babu Seya amesamehewa kifungo tu, lakini haimaanishi kwamba amefutiwa hatia.

..Je, wananchi watakichukuliaje kitendo cha CCM kupigiwa kampeni na mtu aliyepatikana na hatia ya kuharibu watoto wadogo?

..Wapiga kura wakubwa wa CCM wamekuwa kina mama. Je, kina mama watampokeaje Babu Seya na CCM wakati wa kampeni?

..Suala la kuachiwa Babu Seya aliyelianzisha ni Edward Lowassa wa CDM. Wana CCM kadhaa walilipinga, na kwa maoni yangu walikuwa na hoja nzuri kabisa.

Kilichonishangaza ni Mwenyekiti wao kuichukua ahadi hiyo na kuifanyia kazi. Je, hakuna wana CCM waliochukizwa? Wale wana CCM waliokuwa wakipinga Babu Seya kuachiwa leo wamepotelea wapi?

..Je, Raisi Magufuli yuko tayari kuvumilia vijembe vya kampeni kupinga kitendo chake cha kumsamehe Babu Seya, na zaidi kumpokea Ikulu ambapo Baba wa Taifa alipaita mahali patakatifu?
Sii itakua sawa na nakukumbushia ahadi ya Lowasa kwenye uchaguzi wa 2015 .lakini sio ajabu maana maccm hamnazo
 
Kuna kiongozi mmoja wa kiroho aliwahi kusema kwamba CCM imekufa.

Ni zipi dalili za kufa kwa chama cha siasa?
 
Back
Top Bottom