Kuachiwa Babu Seya na Wanawe nchi nzima yalipuka kwa furaha, Magufuli ajiongezea credit kubwa mitaani.

666 chata

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
1,688
3,816
Mamilion ya WaTanzania walishangilia kwa furaha baada ya kuskia habari ya kuachiwa watu hawa kwa msamaha wa Rais, walio wengi walifikiri labda ni utani wa kwenye mitandao hasa wale waliokua hawafuatilii maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru.

Msamaha huu umeacha alama nyingi sanaa ya maswali ikiwemo "kumbe wakina babu seya wanapendwa kiasi iki?", "je waTanzania karibu wote kumbe walikua wanaumizwa sanaa na vifungo vya kina babu seya kwa kiasi iki?"

Kwa hakika watu hawa wamewagusa wengi na wamefurahiwa sanaa na wengi, hakika Rais Magufuli amejiongezea thamani maradufu na kubwa sana kwenye hili na ukweli ulio wazi tu kwamba wananchi hawa leo wamefurahia kushinda hata siku ile ya makinikia na report za migodi zilivyo tajwa.

Rais hajakosea ana mamlaka hayo na yeye sio wa kwanza, hata nyerere aliwai kuwaachia huru baadhi ya watu waliokua wamehukumiwa vifungo vya maisha au kunyongwa mpaka kufa akiwemo mama wa mtangazaji Taji Liundi aliekutwa na hatia ya mauaji ya wanawe wawili.

Taarifa zinadai walioachiwa ni Mzee Nguza na mwbae Johnson papii, wakati jela walikua wamebakia watatu baada ya mtoto wa mwisho wa mzee huyu kuachiwa mwaka 2012 na mahakama ya rufa, walikua wamefungwa wanne, sasa sijajua huyu mmoja aliebakia nae ni vp sasa?
 
Jiongeze!!
 

Attachments

  • IMG_20171209_151428_705.jpg
    IMG_20171209_151428_705.jpg
    67.4 KB · Views: 73
Mamilion ya WaTanzania walishangilia kwa furaha baada ya kuskia habari ya kuachiwa watu hawa kwa msamaha wa Rais, walio wengi walifikiri labda ni utani wa kwenye mitandao hasa wale waliokua hawafuatilii maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru.

Msamaha huu umeacha alama nyingi sanaa ya maswali ikiwemo "kumbe wakina babu seya wanapendwa kiasi iki?", "je waTanzania karibu wote kumbe walikua wanaumizwa sanaa na vifungo vya kina babu seya kwa kiasi iki?"

Kwa hakika watu hawa wamewagusa wengi na wamefurahiwa sanaa na wengi, hakika Rais Magufuli amejiongezea thamani maradufu na kubwa sana kwenye hili na ukweli ulio wazi tu kwamba wananchi hawa leo wamefurahia kushinda hata siku ile ya makinikia na report za migodi zilivyo tajwa.

Rais hajakosea ana mamlaka hayo na yeye sio wa kwanza, hata nyerere aliwai kuwaachia huru baadhi ya watu waliokua wamehukumiwa vifungo vya maisha au kunyongwa mpaka kufa akiwemo mama wa mtangazaji Taji Liundi aliekutwa na hatia ya mauaji ya wanawe wawili.

Taarifa zinadai walioachiwa ni Mzee Nguza na mwbae Johnson papii, wakati jela walikua wamebakia watatu baada ya mtoto wa mwisho wa mzee huyu kuachiwa mwaka 2012 na mahakama ya rufa, walikua wamefungwa wanne, sasa sijajua huyu mmoja aliebakia nae ni vp sasa?
Mbona jirani hapa bado wanalia na msiba wa ndugu yao kugongwa na gari za rais, au wao wanaishi Kigali?
 
Weka Picha ya hao watz waliolipuka kwa furaha ili tutofautishe habari yako na udaku
Ukienda kupimwa malaria hua unatolewa damu yote au damu kidogo tu? Je wewe ni umesoma shule? Una elewa maana ya sampling?
 
Hakuna kuripuka wala kuungurama ila imewagawa watu tayari kuwa misamaha ni ya aina fulanifulani hivi.

Jiulize, wenye makosa kama ya huyo Seya na mwanae ambao bado wapo jela na hawajasamahewa wao na ndugu zao na familia zao wanajisikiaje sasa hivi!!??

Makosa Sawa, kifungo Sawa , wao sasa hivi wanamuonaje Rais, wanaifikiliaje mahakama na serikali kwa ujumla!?

Kumbuka, hao akina Seya siyo watanzania wala hawakuipigia kura serikali iliyo madarakani!!

Any way, naomba niachane na issue hiyo.
 
Lowassa aliposema atamwachia BABU SEYA... kuna watu walizungumza habari ya sheria... nangoja kusikia kama watasema tena habari ya sheria

Ngalikihinja ,
Mkuu,
Hawa wezi wakasema chochote.
Hadi sasa hivi , wameisha geuza midomo inaimba wimbo wa sifa na kuabudu!!

Chezea wanasiasa uchwara weye!!?
Nakwambia , kwenye tongue twisting games wako vizuri mno!!
 
Hakuna kuripuka wala kuungurama ila imewagawa watu tayari kuwa misamaha ni ya aina fulanifulani hivi.

Jiulize, wenye makosa kama ya huyo Seya na mwanae ambao bado wapo jela na hawajasamahewa wao na ndugu zao na familia zao wanajisikiaje sasa hivi!!??

Makosa Sawa, kifungo Sawa , wao sasa hivi wanamuonaje Rais, wanaifikiliaje mahakama na serikali kwa ujumla!?

Kumbuka, hao akina Seya siyo watanzania wala hawakuipigia kura serikali iliyo madarakani!!

Any way, naomba niachane na issue hiyo.
Hakuna iliemgawa tena ndio imewaunganisha watu, Tanzania nzima wote tunajua watu hawa walishtakiwa na kufungwa kwa hila, tulioifuatilia kesi na kuisoma na kujua sheria tuligundua madudu mengi sanaa ambayo watu wengi hawakuwai kuyaskia au kujua mfano la babu seya mwenyewebkutokua na uwezo wa kusimamisha toka 98 na ushaidi ulikuepo, so usi assume mambo mkuu.
 
Back
Top Bottom