B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
Kuna tetesi kwamba baba Daimond, Mzee Abdul kaenda kustaki Daimond Mahakamani akidai fidia na kuzalilishwa. Hivi anaweza kulipwa? Na kama ikitokea akilipwa, inatakiwa alipwee mahela ya kutoshaa asee na hapo ndio hapo naamini usikate tamaa mpaka kaburini hakuna maskini.