BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Salamu Waungwana na Wataalamu wa Baraza letu hili la Afya. ninaomba kujuzwa suala hili ambalo limekuwa likinitatiza sana.
Baada ya kupata matatizo ya Kisukari, miongoni mwa Ushauri niliopewa in ule wa kutumia Asali kwenye Chai na Maziwa ninayokunywa badala ya kutumia Sukari.
Ninaomba utaalamu na Ushauri wenu. Je Ninapokunywa Maziwa ama Chai, Kijiko kimoja cha Asali ninachoweka kwenye chai ama maziwa hayo, kinafanya Maziwa ama Chai hiyo kuwa na Utamu kuzidi ule wa Sukari!.
Ni kweli kwamba Utamu huo huwa unaishia mdomoni tu na unakuwa hausababishi Sukari kupanda mwilini?
Ninaomba Ushauri wenu.
Asali kweli haipandishi kiwango cha Sukari mwilini?
Baada ya kupata matatizo ya Kisukari, miongoni mwa Ushauri niliopewa in ule wa kutumia Asali kwenye Chai na Maziwa ninayokunywa badala ya kutumia Sukari.
Ninaomba utaalamu na Ushauri wenu. Je Ninapokunywa Maziwa ama Chai, Kijiko kimoja cha Asali ninachoweka kwenye chai ama maziwa hayo, kinafanya Maziwa ama Chai hiyo kuwa na Utamu kuzidi ule wa Sukari!.
Ni kweli kwamba Utamu huo huwa unaishia mdomoni tu na unakuwa hausababishi Sukari kupanda mwilini?
Ninaomba Ushauri wenu.
Asali kweli haipandishi kiwango cha Sukari mwilini?