Je, ana maana gani?

Je, ana maana gani?

Asilimia kubwa ya Wanawake naokulana nao Kimasihara au hata sinkimasihara..

Huwa siwatongozi direct, ila Kuna namna nawafamya ,utasikia wenyewe wanajilopokesha...

Hivi My Unanipenda kweli???


😂😂😂😂


Umeona kwa mfano huyu, anajikuta mwenyewe anajibebisha, ananipenda mwenyewe, mwisho anauliza, Hivi unanipenda kweli??


Wanawake ni wengi, zile zama za sisi wanaume kuuliza Wanawake "Unanipenda kweli???"...hizo zama zimepita wakati.
View attachment 2664542
Mluu kwanini usiandike kitabu maana siyo siri umebobea
 
Picha linaanza , umeondoks ukiwa mtoto mdogo mostly under 7 or exactly 7 , hence after 8 years umerudi una 15 years hence una comment jamiiforums kama mtu mzima anayejua mapenzi ,


Soo umetuona ma mbuzi siyo!!!
Nina 21,, hesabu upya niliondoka nikiwa na mingapi
 
Mkuu itakuwa kashazinyaka za ndaaaaani,hasa uliyokuwa unafanya huko nchi jirani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom