Wewe unaathirika na nini kwa kununa kwake?? au umepata hasara gani??Habari wakuu
Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.
Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.
Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.
Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.
Nguvu moja![]()
Binti bado yupo kwenye process ya kukua, kuwa na hasira na kisirani ni moja ya matukio ya kukua kwakeHabari wakuu
Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.
Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.
Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.
Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.
Nguvu moja![]()
Si hapo mwisho umemaliza na slogan yenu, na hapo profesa mimi nikajua tatizo liko wapisasa ushabiki umeingiaje hapo ?
Huyu jamaa anaonekana ni mtu wa kulalama lalama sana.Tatizo umelelewa maisha ya kitajili yani umenuniwa alafu unakuja kumsemea hapa...ili sisi tumchape au?
Mkuu,una miaka mingapi? 1.Umeondoka mdogo sanaNina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea
Anhaa,kumbe tuliza komwe! UgumuugumuSiwezi kumuuliza sababu ameninunia, nitakuwa kama najipendekeza
Nina miaka 21 mkuu,, hayo mengine siwezi kujuaMkuu,una miaka mingapi? 1.Umeondoka mdogo sana
2.una miez miwili toka urejee
3.Uliondoka miaka 8 iliyopita.
I can say obviously ,umeondok ukiwa mtu mzma,and huyo binti anakutak ila umeshindwa kuelewa vitendo
Au hauna ile gentleman side binti aliyotegemea ungekua nayo baada ya kurudi ni ugai gai no new exposure from the old you.
🤣🤣🤣🤣🤣🤭