Huku bado walewale wawili vipi huko kapatikana hata mmoja??Wenye akili huko wamesha ongezeka au bado walewale wawili ?
Ili kupata majibu ya uhakika unaonaje ukamuuliza huyo binti
Akinuna unakosa raha? Na wewe nuna... Dawa ya moto ni motoSiwezi kumuuliza sababu ameninunia, nitakuwa kama najipendekeza
Lkn unaonekana kujali. Inashangaza.Sijawahi hata kufikiria kumtongoza, kuhusu yeye kupata mchumba ni juu yake sihitaji hata kujua,, kwa kifupi sijawahi hata kukaa kuzungumza nae ni ule utani wa juu kwa juu tu tukikutana.
Ooh kumbe. Basi sawaNina miaka 21 mkuu,, hayo mengine siwezi kujua
Picha LA kihindi starling sharukh khan.Picha linaanza , umeondoks ukiwa mtoto mdogo mostly under 7 or exactly 7 , hence after 8 years umerudi una 15 years hence una comment jamiiforums kama mtu mzima anayejua mapenzi ,
Soo umetuona ma mbuzi siyo!!!
Ndugu sas hujajua ni kwann! We ulitaka akuchekee ?,jiongeze jombaaHabari wakuu
Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.
Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.
Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.
Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.
Nguvu moja![]()
Kuna watu wamemwambia wewe ni shogaHabari wakuu
Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.
Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.
Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.
Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.
Nguvu moja![]()
Mkuu jiongeze.Mliambiwa mkasomee Cuba Mambo haya,mkakaza vichwa,haya ona sasa kitu Kidogo kinakusumbua akili.Habari wakuu
Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.
Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.
Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.
Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.
Nguvu moja![]()
Carlos The Jackal , Mtaalam wa hisia za is wanawake tupe mawazo yakoHabari wakuu
Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.
Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.
Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.
Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.
Nguvu moja![]()
Ok mwanamke siku zote anataka mwanaume amtake .Carlos The Jackal , Mtaalam wa hisia za is wanawake tupe mawazo yako
Huu ni unyama 🔥Kuna namna yakuwaishi Wanawake mpaka wenyewe wanaanza... Utasikia anakuuliza...
Hivi Umenipenda kweli?? 🤣🤣
Asilimia kubwa ya Wanawake naokulana nao Kimasihara au hata sinkimasihara..Huu ni unyama 🔥