Je, ana maana gani?

Je, ana maana gani?

Au umemjulisha kuwa unamchumba?
au yeye kapata mchumbaa ivo tu
Sijawahi hata kufikiria kumtongoza, kuhusu yeye kupata mchumba ni juu yake sihitaji hata kujua,, kwa kifupi sijawahi hata kukaa kuzungumza nae ni ule utani wa juu kwa juu tu tukikutana.
 
Tatizo umelelewa maisha ya kitajili yani umenuniwa alafu unakuja kumsemea hapa...ili sisi tumchape au?
Nimeomba wanao fahamu saikolojia ya wanawake wanieleweshe anacho maanisha..
 
Kisichana kinaonyesha kuwa kinakuhitaji kimahusiano alaf wewe hauna habari nayeye

Anakutega umtongoze umkule wewe haujatambua so anaona bora afanye mambo mengine
 
Alikuchangamkia tu pindi uliporudi ila baada ya muda mfupi alikuona huna jipya akaamua kukuchunia mazima.
 
Habari wakuu

Nina kama miezi miwili tangu nilipo rejea kutokea nchi jirani ambako nilipokuwa nikiishi, niliondoka nikiwa mtoto mdogo sana na baada ya miaka ipatayo 8 hatimaye nimerejea.

Jirani na kwetu kuna binti ambaye nilimuacha mdogo lakini nilishangazwa kumkuta amekua binti mkubwa. Kwakuwa tumejuana kitambo tangu enzi za utoto, yalianza mazoea akawa anapenda sana utani na mimi.

Sasa kilicho nifanya niandike huu uzi ni kwamba siku za hivi karibuni yule binti ameninunia bila sababu yeyote kwani sijawahi kugombana nae wala kupishana kauli, hili limeniacha na maswali mengi inakuaje ghafla tu mtu akununie bila sababu.

Wakuu najua humu kuna wataalam wa saikolojia ya wanawake, naombeni mnisaidie nimeshindwa kumuelewa.

Nguvu moja
Ni PM namba yake nimuulize chap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom