Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 3,115
- 4,228
Kuna mwenge wa uhuru na bendera ya taifa, viwili hivi naona kama vina thamani sana kuliko alama nyingine za Taifa. Mwenge ukipitishwa askari wenye sare wote watapiga salute, kadhalika wakati wa kushusha na kupandisha bendera ya Taifa
Mimi kajamba nani nikipita na mifuko yangu ya noti hata iwe transparent askari wanaziona noti zilee... hawapigi salute ng'o!🤣 Tukienda kwenye Coat Of Arms kuna alama za Taifa ndani yake zaidi ya moja lakini alama hii haina umaarufu kama baadhi ya alama nyingine
Civics nilikuwa nakariri tu form one hebu nielimisheni
Mimi kajamba nani nikipita na mifuko yangu ya noti hata iwe transparent askari wanaziona noti zilee... hawapigi salute ng'o!🤣 Tukienda kwenye Coat Of Arms kuna alama za Taifa ndani yake zaidi ya moja lakini alama hii haina umaarufu kama baadhi ya alama nyingine
Civics nilikuwa nakariri tu form one hebu nielimisheni