Jesus Mlokozi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 2,679
- 21,096
Mambo yanabadilika sana.
Sisi sote ni binadamu, tupo kiwenye mikono ya mwenyezi Mungu.
Je, haiwezekani kweli mpaka sasa hali ya afya siyo nzuri? Au jambo la kuonekana huko Dubai kisha Saudia siyo issue ya matibabu kweli?
Promotion ni kubwa mno nahisi kama kuna jambo tofauti kabisa. Naomba mnisaidie wale wenye kujua mambo.
Nasikia hata ile sherehe ya Mashujaa alibembelezwa sana na kisha kutumia dawa nyingi ili aweze kufanya kazi?
Sasa itakuwaje uchaguzi ujao? Je, kutakuwa na kugawana mbao? Maana kuna watu wamejipanga kuchukua nchi.
Naomba mwenye kuweza kutegua kitendawili hiki atuambie.
Sisi sote ni binadamu, tupo kiwenye mikono ya mwenyezi Mungu.
Je, haiwezekani kweli mpaka sasa hali ya afya siyo nzuri? Au jambo la kuonekana huko Dubai kisha Saudia siyo issue ya matibabu kweli?
Promotion ni kubwa mno nahisi kama kuna jambo tofauti kabisa. Naomba mnisaidie wale wenye kujua mambo.
Nasikia hata ile sherehe ya Mashujaa alibembelezwa sana na kisha kutumia dawa nyingi ili aweze kufanya kazi?
Sasa itakuwaje uchaguzi ujao? Je, kutakuwa na kugawana mbao? Maana kuna watu wamejipanga kuchukua nchi.
Naomba mwenye kuweza kutegua kitendawili hiki atuambie.