Je akifa changudoa?

Je akifa changudoa?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,884
Reaction score
845,775
akifa sheik tunasoma dua usiku mzima, mlokole tunaimba na kusifu usiku mzima je akifa changudoa tunafanyaje?
 
kama alikua na dini/imani atafanyiwa taratibu za imani yake wangap wanafanya maovu wanafanyiwa taratbu itakua changudoa.
 
Ni kugegedana usiku kucha
Ndo jibu ulilokua unalitaka
Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10
 
Back
Top Bottom