Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,884 Reaction score 845,775 May 26, 2014 #1 akifa sheik tunasoma dua usiku mzima, mlokole tunaimba na kusifu usiku mzima je akifa changudoa tunafanyaje?
akifa sheik tunasoma dua usiku mzima, mlokole tunaimba na kusifu usiku mzima je akifa changudoa tunafanyaje?
janeth1 JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 2,151 Reaction score 768 May 26, 2014 #2 kama alikua na dini/imani atafanyiwa taratibu za imani yake wangap wanafanya maovu wanafanyiwa taratbu itakua changudoa.
kama alikua na dini/imani atafanyiwa taratibu za imani yake wangap wanafanya maovu wanafanyiwa taratbu itakua changudoa.
baby boy17 JF-Expert Member Joined Apr 10, 2014 Posts 297 Reaction score 117 May 26, 2014 #3 Ni kugegedana usiku kucha Ndo jibu ulilokua unalitaka Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10
Ni kugegedana usiku kucha Ndo jibu ulilokua unalitaka Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,485 May 26, 2014 #4 mshana jr said: akifa sheik tunasoma dua usiku mzima, mlokole tunaimba na kusifu usiku mzima je akifa changudoa tunafanyaje? Click to expand... Tunatubu dhambi zetu.
mshana jr said: akifa sheik tunasoma dua usiku mzima, mlokole tunaimba na kusifu usiku mzima je akifa changudoa tunafanyaje? Click to expand... Tunatubu dhambi zetu.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,884 Reaction score 845,775 May 26, 2014 Thread starter #5 baby boy17 said: Ni kugegedana usiku kucha Ndo jibu ulilokua unalitaka Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10 Click to expand... du baby boy 17 nimeipenda usernane yako
baby boy17 said: Ni kugegedana usiku kucha Ndo jibu ulilokua unalitaka Unawasemaga watu kua wao ni division 5 mi nahisi we ni division 10 Click to expand... du baby boy 17 nimeipenda usernane yako
Y ykyo Member Joined May 22, 2014 Posts 23 Reaction score 4 May 27, 2014 #6 janeth1 said: kama alikua na dini/imani atafanyiwa taratibu za imani yake wangap wanafanya maovu wanafanyiwa taratbu itakua changudoa. Click to expand... swadaktaaaa!
janeth1 said: kama alikua na dini/imani atafanyiwa taratibu za imani yake wangap wanafanya maovu wanafanyiwa taratbu itakua changudoa. Click to expand... swadaktaaaa!