Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
leo kwenye xxl ya clouds fm
msanii wa hipohop kutoka Arusha, amefunguka na kusema kwamba hiyo show ilikuwa poa sana na hakuna vurugu zilizotokea..
Amesema kama wapo waliorusha mawe basi walilushiana wao kwa wao,kwani yeye pia ni underground kwa hiyo hawezi kuwadis wenzake..
Amedai waliompa habari hizi walidai wamezitoa jamiiforum..
msanii wa hipohop kutoka Arusha, amefunguka na kusema kwamba hiyo show ilikuwa poa sana na hakuna vurugu zilizotokea..
Amesema kama wapo waliorusha mawe basi walilushiana wao kwa wao,kwani yeye pia ni underground kwa hiyo hawezi kuwadis wenzake..
Amedai waliompa habari hizi walidai wamezitoa jamiiforum..