miss annie
Member
- May 4, 2010
- 17
- 0
very nice couple,ni mfano wa kuigwa hapa nnchi na mastar wengine,M ungu awajalie heri na baraka miaka mitano ya ndoa kwa maisha ya sasa si mchezo!
duh ....call me a hater all u want ....but sijapenda uvaaji huo siku ya ndoa.
na ndo mungu kajua kumuweza lady jaydee.................hata akae uchi vipi mvuto zero.
mungu awajaalie ndoa itakayodumu milele -ameen
wee mama weee!!!!:angry:Hiyo ndoa haikufungwa kanisani na nadhani sabab kubwa ni kwamba huyo mume alikwisha kuoa ni mume wa mtu huyo na nasikia tayari ana mtoto 1 sasa sijui ni vipi...na ndo maana hata biharusi amevaa hicho kivazi...kuhusu mtoto labda hawajapanga, au bibi ana matatizo, au kutokana na ubusy labda ni ngumu kupatikana yote yawezekana...Kama hiyo ndo ni ya halali basi Mungu ataidumisha kama wanvyoomba....Lakin kama amepora mume wa mtu ni mungu pia ndo anaejua...:hug:
ndoa ya Bomani au hapo huoni ndio shughuli yenyewe?Hiki kivazi cha Shem kilitinga Mazabauni?? Duh!..
Hongereni na Mungu akawabariki. Akawafungulie milango ili nanyi mpate pia kuijaza dunia kama ilivyo ahadi yake ya zaeni mkaongezeke mkiwa Mume na Mke wa Ndoa!
duh ....call me a hater all u want ....but sijapenda uvaaji huo siku ya ndoa
Na mi pia! hapo lazima mchungaji atakuwa anaangalia juu na chini kila mara ili asijaribiwe....lakini hataweza kumuangalia bi harusi moja kwa moja... Ni maoni tu
Hiyo ndoa haikufungwa kanisani na nadhani sabab kubwa ni kwamba huyo mume alikwisha kuoa ni mume wa mtu huyo na nasikia tayari ana mtoto 1 sasa sijui ni vipi...na ndo maana hata biharusi amevaa hicho kivazi...kuhusu mtoto labda hawajapanga, au bibi ana matatizo, au kutokana na ubusy labda ni ngumu kupatikana yote yawezekana...Kama hiyo ndo ni ya halali basi Mungu ataidumisha kama wanvyoomba....Lakin kama amepora mume wa mtu ni mungu pia ndo anaejua...:hug:
duh ....call me a hater all u want ....but sijapenda uvaaji huo siku ya ndoa.
na ndo mungu kajua kumuweza lady jaydee.................hata akae uchi vipi mvuto zero.
mungu awajaalie ndoa itakayodumu milele -ameen
Hiyo ndoa haikufungwa kanisani na nadhani sabab kubwa ni kwamba huyo mume alikwisha kuoa ni mume wa mtu huyo na nasikia tayari ana mtoto 1 sasa sijui ni vipi...na ndo maana hata biharusi amevaa hicho kivazi...kuhusu mtoto labda hawajapanga, au bibi ana matatizo, au kutokana na ubusy labda ni ngumu kupatikana yote yawezekana...Kama hiyo ndo ni ya halali basi Mungu ataidumisha kama wanvyoomba....Lakin kama amepora mume wa mtu ni mungu pia ndo anaejua...:hug:
nyamayao ........
kuna kina ray c na kina aunt ezekiel ....wanakaa uchi na watu wengi wanavutiwa na muonekano wao. but jaydee mie naona anafanya tu na outcome yake ni zero. angevaa kiheshima au kuvaa uchi watu wangempenda sawa tu kwa nyimbo na uimbaji wake. nguo zake or lack thereoff hazimuongezei wateja