kumbukumbu nzuri, wamejitahidi, nyota wengi hapa Tz wanaogopa ndoa.
View attachment 10237
Na GARDNER G HABASH..
kwa kufikisha miaka mitano ya ndoa!!mungu awatangulie kwa miaka mingine ijayo.... :A S 8::A S 8::A S 8:
ila Gardner ana sura ya kichaga eeeh? :target:
je mnawatoto wangapi?
wamekwambia wanahitaji?je mnawatoto wangapi?
zero kwako kwa mumewe kifaa,hakuna hata siku binadamu mkatoa japo sifa ni ku diss tu kilakitu.duh ....call me a hater all u want ....but sijapenda uvaaji huo siku ya ndoa.
na ndo mungu kajua kumuweza lady jaydee.................hata akae uchi vipi mvuto zero.
mungu awajaalie ndoa itakayodumu milele -ameen
Na GADNER G HABASH.. kwa kufikisha miaka mitano ya ndoa!!
Mungu awatangulie kwa miaka mingine ijayo.... :A S 8::A S 8::A S 8: