Javascript For Beginner In Swahili

frankgalos

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
223
100
Mwaka huu nime barikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwa changu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu ni kwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza programu za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kutokana na elimu waliokua nayo juu ya hicho kitu wanacho kitengeneza ni ndogo hivyo kuwa nauwezo wakuelewa unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chako.

Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua rahisi sana kwa msomaji kwani javascript ni rahisi kuisoma na kuielewa.

Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.

Hivyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu haina mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.

tutorials.JPG
 
Programming kwangu imekaa kushoto kabisa....
Huwa najaribu kupitia pitia Java, Javascript, PHP, Python na C/C++ lakini waapi....

Mimi niko nduki sana kwenye issues za IP... Nakimbiza balaa....
VLAN, VPN, MPLS/VPN, DNS, DHCP, Firewall, MGW, UGW, HLR, HSS, OCS, GGSN, SGSN...
Ebanaeee niko fiti....
hahah ujapata idea ambayo inayo kulazimu kujua kitu ndo iweze kukamilika bt ungepata hizo zote zingekua kichwani now.
 
Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.

Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.

Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.

Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.

View attachment 489924
Acha maneno weka kitabu tudownload
 
Unamfundisha mtu language kwa lugha ya Kiswahili ilhali Javascript yenyewe ni primarily English! Error messages zote atapewa in English! The language constructs, API and documentation are primarily in English!

Why did you think this would be a good idea?
 
Unamfundisha mtu language kwa lugha ya Kiswahili ilhali Javascript yenyewe ni primarily English! Error messages zote atapewa in English! The language constructs, API and documentation are primarily in English!

Why did you think this would be a good idea?
Kujua maana ya kit kwa lugha yako inakupa ulaisi wa kukielewa, so hiki kitabu kinamfundisha mtu kuelewa zaidi na sio kua maana ya vitu husika vitapotea hapana. Hataivo error message inaweza kuwa printed kwa kiswahili. Na syntax zikabak kama zilivo. Tz alafu sio kila mtu anaependa teknologia anajua kiiengeleza, so itakua laisi kwake hatakujua kwamba kila kitu ki na wezekana. Hope ntakua mimetoa hiko kikwazo kwake.
 
Kujua maana ya kit kwa lugha yako inakupa ulaisi wa kukuielewa, so hiki kitabu kinamfundisha mtu kuelewa zaidi na sio kua maana ya vitu husika vitapotea hapana. Hataivo error message inaweza kuwa printed kwa kiswahili. Na syntax zikabak kama zilivo. Tz alafu sio kila mtu anaependa teknologia anajua kiiengeleza, so itakua laisi kwake hatakujua kwamba kila kitu ki na wezekana. Hope ntakua mimetoa hiko kikwazo kwake.
Kiswahili ni immature. Unafikiri JavaScript V8 engine imewekewa Locale ya Kiswahili ili error messages ziprinitiwe kwa Lugha hiyo? Hapana.

Usifikiri kujua maana ya language constructs kwa Kiswahili kutakuwezesha kuwa developer. Ili uweze kufanya anything meaningful utatakiwa uconsult documentation, developer communities kama StackOverflow na resources nyingine. Huku ni Kiingereza tu.

Sasa mtu aliyekuwa challenged na Kiingereza atafanikiwa kweli? Bila basic English literacy at least ya kuelewa tu kilichondikwa (au lugha nyingine kuu kama Kijerumani, Kifaransa, Kirusi) one simply won't make it.

Kwa mtu anayetaka kuwa developer lazima abuild capacity yake ya uelewa wa Kiingereza kwanza. Wewe kumtafunia na kumuwekea kwa Kiswahili hakuna msaada mkubwa kwake in the long run.
 
Kwa nnavojua js kua unaweza kutengeneza custom error message method ambayo Uta embed kweny code zako so it simple ku print typeOf "undefined " n.k kwa lugha yoyote ile, just knowledge what is matter. Pia kuhus long run ya kua developer inaanza na simple step to do or not to do, pia spingani na wewe kua ni difficult kua developer but at least amejarib Kujua.
 
Programming kwangu imekaa kushoto kabisa....
Huwa najaribu kupitia pitia Java, Javascript, PHP, Python na C/C++ lakini waapi....

Mimi niko nduki sana kwenye issues za IP... Nakimbiza balaa....
VLAN, VPN, MPLS/VPN, DNS, DHCP, Firewall, MGW, UGW, HLR, HSS, OCS, GGSN, SGSN...
Ebanaeee niko fiti....
Mimi hayo yote uliyoyataja sijui hata moja. Mambo yangu ni C++, Octave/ Matlab na Python. Interested zaidi na MACHINE LEARNING na ARTIFICIAL INTELLIGENCE
 
Back
Top Bottom