Jarida la The Economist ladai uchumi wa Tanzania unaporomoka, lahamasisha Rais Magufuli adhibitiwe kwa vikwazo kiuchumi

TULIPOKOSEA KUJUMLISHA NI HAPA:
Maendeleo=watu+ardhi+siasa safi+utawala bora.

Sina shaka aliyetutoa relini ni Bwana Paulo.huyu jamaa sio mtu mzuri kabisaaa lengo la mwenye kigoda lilikuwa zuri sasa mechanisms zinazotumika ni kinyume na walio kusudiwa kwenye maendeleo yanayosemwa.
 
Una hoja lakini hatuwezi kuunga mkono mauaji ya watanzania ndani ya Tanzania kama na iwapo mauaji hayo yatasababisha maendeleo

Hatuwezi kukubali uhuru wetu WA kiraia WA kujumuika na kutoa mawazo ukandamizwe kisa uzalendo

Katika na sharia zetu zinakanyagwa kisa una lend. Mikutano ya kisiasa . Uhuru WA habari ndo mambo yanayoonyesha kutoa au kufa democrasia

Acha wazungu watusemee maana sisi wenyewe hatuthaminiani. Tonawanda kama nzi .
 
ujue mabepari hawalali unapogusa maslahi yao!
 
Suppose Lissu ni Rais wa TZ. Unategemea nini? Nahisi wazungu watakuwa na sitting room yao ikulu.
 
Emalau which right have you been denied as a citizen.

You seem to be out of touch, i have been denied the right to associate by prohibiting political activities, i have been denied the right to information by closing some newspaper, my fellow citizens have been denied the right to live by being killed and thrown in the ocean to the extent that some are running out of the country in a bid to serve their lives - ask the whereabouts of Ansbert Ngurumo. Members of parliament are denied the right to exercise their constitutional right of practicing politics wherever they wish, now they are told to do that in their constituencies only!!!! -

I have just mentioned a few, i can go on and on...
 
Wanabodi.

Hii ni Makala toka jarida la The Economist, linamsakama sana rais Magufuli, katika Makala hii, linahamasisha rais Magufuli adhibitiwe kwa kuwekewa vikwazo vikali kabisa kiuchumi.
How to save Tanzania

Paschal,

Mara nyingi umekuwa ukiona issue kwanya magazeti ya nje kama hili unayaleta.

Je, matokeo yanaonyesha vyombo hivi vimeshikishwa adabu na hoja kinzani za watazania? Au unapoyaleta ndiyo yamepata watanzania wengi zaidi wanaoyaunga mkono?
 
Uchumi wetu haukuwahi kufikia hapa tulipofikia tangu tupate uhuru.
uchumi unaporomoka kwa kasi ya kutisha....conern ya huyu mwandishi ni 50m+raia wa Tanzania wanaelekezwa siko na Magufuli na wapambe wake.Its not a joke...lets act immediately!
 
Bila kuathiri upande wowote kwenye mjadala huu, yaani wale wanaounga mkono ripoti iyo na wale wanaopinga..niseme kidogo. Shida inayoikabili nchi yetu ndani ya awamu hii ni mitazamo finyu kuwa kila unapotoa mawazo mbadala wewe unatumika na watu fulani na has mabeberu au watu weupe. Moja ya silaha iyotumika na serikali yetu ya awamu ya tano ni kuwafanya watanzania waamini kuwa, yoyote anayetoa mawazo au hoja inayopingana na serikali ni adui wa serikali, na anapaswa kutazamwa kama adui wa watanzania aka 'public enemy'. Na kwa kweli imefanikiwa kwa kiasi fulani.

Lakini pia, juhudi zinafanyika kuwaaminisha watanzania kuwa mambo yako shwari na yanaendelea vizuri. Hii pia imefanikiwa kwa kiasi fulani japo ukweli ni kuwa 'trickle down effect' bado ni ndogo sana. Hili linafanyika kwa kuhakikisha kuwa wenye mawazo tofauti hawapati nafasi sana kusikika, lakini mawazo ya serikali na watendaji wake yanasikika zaidi. Tazama kwa mfano mlundikano wa vipindi kwenye runinga vinavyoipamba serikali, tazama namna ambapo ziara za viongozi wa serikali zinavyopewa 'airtime' kubwa kwenye runinga...hili yote ni mkakati wa kuhakikisha madhaifu yanafichwa kwa gharama yoyote.
 
Sasa hapo una-justify Lissu kupigwa risasi, siyo? Akili nyingine... Kazi kweli kweli.
Tatizo ni pale mtu anapokuwa kama ile hadithi ya kipofu na tembo. Ghafla mtu anakuondoa upofu na kukuta tembo mbele yako kabla upofu haujakurudia. Kila lisemwalo wewe ni kama tembo:

Hii thrd haihusu lolote, chochote juu ya Lissu. Iweje mtu mzima kila kitu ni Lissu? Hata uchumi ni Lissu!
 
Kiingereza kimekupita kushoto nini? Basi kwa Kiswahili ni hivi. Hii mada inahusu udikteta katika nchi yetu na hivi ndivyo jinsi unavyoonekana - kusigina katiba, kuzuia, mikutano ya kisiasa, kufungia magazeti, watu kutekwa na kupotea, mauaji ya kisiasa - Lissu alinusurika, kukosekana kwa utawala wa kisheria - Nondo amefichwa bila kupelekwa mahakamani, nk. Lisu ni mwathirka wa udikteta - sasa kwa nini wewe inakuuma akitajwa kama mfano kwenye mada hii inayohusu udikteta Tanzania?
 
Kipimo cha udikteta ni Lissu? Haya, Rais kafikia Lissu ngapi kama standard unit?
Unafahamu lugha ngapi za kigeni, dogo? Yaani The Economist inajdili udikteta? Ndivyo ulivyoona ktk makara hiyo? Maisha ya Shule ni Safari ndefu... Vumilia!
 
Iron Spear stab
 
Mh. H Mdee alishasema Magufuli anatakiwa aweke breki hamkumwelewa
 
Mkuu. Wenye akili tunajua wakati mzuri wa kujiangalia ni pale unapowaona "wakikusifia na kukumbatiakumbatia"
Ukiona wanaanza kulialia ujue uko kwenye right track (We songa mbele!)
Maneno yako ya ukweli ndani yake ukiwaona Wazungu wanakusifia ujuwe unaharibu nchi yako kwa kuwafurahisha wao lakini ukiwaoana wanasema maneno mabaya kwako ujijuwe kuwa unafanya vizuri nchini mwako. Matatizo hayo yalimkuta Kiongozi wa Libya Kanali Qaddafi wazungu walimchukia kwa sababu nchi yake anaiongoza vizuri wakashirikiana kumuondoa Madarakani Wamarekani na Waingereza na wafaransa.
 
Kipimo cha udikteta ni Lissu? Haya, Rais kafikia Lissu ngapi kama standard unit?
Unafahamu lugha ngapi za kigeni, dogo? Yaani The Economist inajdili udikteta? Ndivyo ulivyoona ktk makara hiyo? Maisha ya Shule ni Safari ndefu... Vumilia!
Tuanze na Kiswahili kwanza. Hata makala unaita "makara". Tukimaliza Kiswahili, tutazungumzia hizo lugha nyingine. Ujuaji mwingi, unaishia kujiabisha.
 
SASA kuna Watu humu ukieleza hivyo, hawakuelewi asilani. Wanasema eti wazungu ni wema SANA. Eti ni wajomba zetu.
Ahaaa haaa haaa.
Anko Ben aliwahi kusema watz ni wavivu wa kusoma. Alikua sahihi. Wanaosema wazungu ni wema sana hao hawana upeo wa kutosha na Sera za nje mataifa makubwa. Canada ni nchi ambayo haisikiki kwenye migogoro but kwa huu wa DRC imo kama zilivyo USA, China, n.k. USA ameweka majeshi take nchi za ghuba kudhibiti uporaji wake wa mafuta wakati huo huo ikichongea ongezeko LA vijana wasio na kazi kua ndio wanaendesha ugaidi. Haya hayafanyiki kwa bahati mbaya
 

Kwa yote hayo yanayofanyika, mtu anadiriki kusema WAZUNGU ni WEMA. KWANI WAJOMBA ZAKO WALE?
 

Ulisema hauko UPANDE wowote yaani kupinga au kuunga mkono jarida la the economist. Lkn kwa maelezo YAKO uliyoyatoa hapo juu unaonekana dhahiri shahili kuwa uko upande wa jarida.
Sasa tunaomba utoe maelezo ambayo yanaonekana uko upande DHIDI YA JARIDA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…