battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,710
- 2,578
Raisi hasifiwi kwa kupewa Mkopo bali ni Ishara ya Udhalili wa Taifa na Kushindwa kwa serikali husika .Kuna maeneo ukionekana unakuwa fresh, ukiona watu hawaonekani, usipime... vimekaza balaa!
P
Kukopa si Fahari bali ni aibu.
Heri ajisifie kwa kukusanya kodi nyingi au kufanya Mambo makubwa kama Mradi wa Umeme wa Maji Kule Stegla's George