Jarida la The Economist ladai uchumi wa Tanzania unaporomoka, lahamasisha Rais Magufuli adhibitiwe kwa vikwazo kiuchumi

Jarida la The Economist ladai uchumi wa Tanzania unaporomoka, lahamasisha Rais Magufuli adhibitiwe kwa vikwazo kiuchumi

Brother, thanks for the critical analysis. You are so few who read the discourse between, under and above the line with open mind and grasp all concepts.

You are so right on the writer of the article which published in the economist periodical. The article is based on the author's opinion. I'm also worried if any referee was edited the article. In short wewe are having a committed leader who protects the national interest. It's not uncommon to West to start a smear campaign to such leader on the issues of human rights. To them committed leaders are threat. Think on Gadaff and others you will understand what I'm trying to stress in here.



Watu wa West wakiona a committed leader na anajitambua kwa ulinzi wa rasilimari na maslahi ya NCHI. Kitu cha kwanza ni kusingiziwa uvunjaji wa haki za binadamu. Hawafura hata punje tunapokuja na evidence za jinsi tunavyoibiwa. Wenyewe wanafurahia SANA aina ya kiongozi asiyejijua, anaachia rushwa, utulivu wa amani tete, n.k. kwao hayo MAMBO ni mtaji kwao. Hawataki radical changes ambazo zinafanywa kwa kulinda maslahi yetu.
SASA kwa taarifa yako, kuweka ukuta wa Mererani viwanda vya kukata tanzanite India vimefungwa. Pia Ulaya na marekani vito vyake vimepanda bei mno.

Vita ya uchumi ni mbaya. Tutegemee mengi SANA. Lkn kikubwa cha kufanya ni kumuunga mkono rais wetu.
Ni aibu kwamba Hakuna nchi ya kiafrika itafanya makubwa kwa wananchi wake, ikapewa pongezi na serikali za magharibi. Kuna watu wanapewa pongezi, mmojawapo alikuwa Mubarak alisifiwa kwa kukaa kimya tofauti na waarabu wenzake juu ya wayahudi, yuko wapi? Angalia aibu waliyoifanya Libya! Wakatoa hata support kwa wahuni walioishia kulawiti rais, hadi wakashindwa kulisema hadhalani. Leo hii Libya ni njia ya kuisumbua Ulaya na wanahangaika na upuuzi wao.

Sitegemei Magufuli apewe sifa na serikali hizo wakati waliona akizuia wizi. Lakini walikuwa tayari kumualika rais wa awamu iliyopita kila mkutano na kujidai kumpa nafasi kwenye mikutano ya Davos. Nini alikifanya? Kuwaachia wasombe wanavyotaka. Bahati mbaya kuna watu wakiguswa mgongoni, hujisikia vizuri na kuachia wizi uendelee!
 
Hivi kila wanachosema wazungu ni sahihi? Wapige kelele na wachukue hatua dhidi wa wazungu wenzao wanaozidi kuchochea migogoro Africa ili kuendelea kuiba rasilimali huku wakiwaachia wana wa nchi hizo mateso makubwa. Jiulize kwa nini UN kwa miaka mingi hadi sasa imeshindwa kurejesha amani DRC!
 
Kaka tulia tu, na vuta pumzi.
Hayo yoote ambayo umeyataja hayo KUNA lolote jipya ambalo halijawahi fanyika katika awamu zilizopita?
Unakumbuka nini kuhusu mabwepande?? Unakumbuka nini kuhusu mwanahabari Mwangosi kule Iringa?
Kumwagiwa tindikali kubenea na mengine mengi Je yalikuwa ni matukio ya KAWAIDA?
Na je the economist waliongelea?

MKULU jibu ni rahisi, SASA tuko kwenye vita ya uchumi ambavyo ni vigumu SANA. Tumegusa maslahi ya wakubwa, tutapata misukosuko mingi SANA. Lkn lililo kubwa ni kushirikiana na kumuunga mkono rais wetu JPM. Because is protecting our country, is protecting our destiny. Our country our destiny.
Vita ya uchumi? Unapigana na nani dada yangu? Hapo ndipo mnapokuwa delusional na Rais wenu. Marekani aache kupigana na Urusi na Japan aje apigane kiuchumi na nchi masikini ya 10 katika listi ya umaskini duniani? Yaani mnajiona a super country, eti. Ni ndoto za mchana hizo. Kabla ya 2015, kuna utawala ambao uliwahi kufungia magazeti kiasi hiki tangu vyama vingi vianze? Kuna utawala wowote uliowahi kukataza kazi za vyama vya kisiasa?
 
Uongo kwani?

Hali ya uchumi ya watu wetu ni mbaya sana

Hali hiyo inawiana na takwimu zote za kinchi zinazoonyesha kuwa maisha ya WATU wetu yamekuwa mabaya zaidi ndani ya miaka hii miwili ya Serikali ya awamu ya 5, mifano michache ifuatayo inaonyesha hali hiyo:

1. UFUKARA: Kwa mujibu wa utafiti wa Afrobarometer wa REPOA, 76% ya Watanzania wana ufukara wa kipato kwa sasa, kulinganisha na 64% ya mwaka 2014. Hivyo basi, ndani ya miaka hii miwili ya utawala huu, mafukara wameongezeka kwa 12%. Hivyo kwa sasa zaidi ya robo 3 ya Watanzania ni mafukara zaidi. Hawa hawana uwezo kabisa wa kulipia huduma za afya, kununua mbegu bora, kunua mbolea, kula mlo bora nk.

2. NJAA: Kwa mujibu wa utafiti huo wa REPOA, 27% ya Watanzania wanalala na njaa sasa kulinganisha na chini ya robo ya Watanzania wanaolala na njaa mwaka 2014.

3. UDUMAVU: Tatizo hilo la njaa linaonekana zaidi kwa kuongeza kwa hali ya udumavu nchini. Mwaka 2011 42% ya watoto wa Tanzania walikuwa wamedumaa, Idadi hiyo ya waliodumaa ilishuka mpaka 34.4% mwaka 2015, kwa sasa imepanda na kufikia 34.7 %. Katika kila watoto 10 nchini walio chini ya miaka mitano, basi watoto wanne (4) wamedumaa kwa sababu ya Lishe duni. Watoto wenye udumavu huu hawanufaiki kabisa na elimu bure inayotolewa.

4. VIFO VYA UZAZI: Kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Takwimu ya Taifa, NBS iliyotoka wiki 2 zilizopita, Vifo vitokanavyo na UZAZI vimepanda kutoka 438/ 100,000 (kwa vizazi salama) hadi 556/100,000. Likiwa ni ongezeko la vifo 118 zaidi. Hali hii inatisha.

5. AJIRA: Utafiti wa REPOA umeonyesha hali ya ajira ni mbaya sana, 31% tu ya Watanzania ndio wanaona Serikali inazalisha ajira kwa sasa, tofauti na 43% walioona hivyo mwaka 2014. Na hili ni kielelezo cha biashara nyingi zilizofungwa tangu utawala wa awamu ya 5 uingie madarakani, kiasi zaidi ya 69% ya Watanzania wanaona Serikali haina uwezo wa kuzalisha ajira na wamekatishwa tamaa. Wengi wa hawa ni vijana, waliomaliza vyuo mbalimbali bila kuajiriwa, tunazalisha bomu litakalotulipukia.

6. MAJI: Kwa mujibu wa Utafiti wa REPOA, Watanzania wanaona upatikanaji wa Maji ni tatizo zaidi sasa kuliko zamani, 42% wanaona maji ni tatizo kubwa ukilinganisha 34% ya mwaka 2014. Ukosefu huu wa maji safi na salama unachagiza maradhi, unapunguza muda wa uzalishaji wa Wananchi, na unavunja ndoa.

7. UFUKARA WA MAJI VIJIJINI: Wastani wa Pato la Taifa la Mtanzania ni shilingi milioni 2.1. Mwananchi wa Kata ya Gehandu, Manyara ananunua maji pipa moja la lita 200 kwa 7000/-, familia yenye watu 6 inahitaji angalau pipa moja kwa siku kwa matumizi ya kujibana kabisa ya maji. Kwa hiyo, familia hii itahitaji takribani shilingi 2.5 milioni kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu, hivyo basi, wastani wa 16% ya kipato cha kila mwanafamilia (hata mtoto mdogo wa siku 1) hutumika kununua Maji. Miji mingi nchini kwetu hupata maji kutoka mamlaka za Maji safi na salama. Wastani wa bei ya maji kwa pipa la lita 200 kwa mamlaka za maji nchini ni shilingi 300 tu. Mwananchi wa Uzunguni jijini Arusha au Mikocheni jijini Dar es Salaam au Shanty Town Manispaa ya Moshi au Capri Point jijini Mwanza hutumia wastani wa shilingi 108,000 kwa mwaka kama gharama za Maji kwa familia yake. Familia ya watu 6 ya mjini inatumia chini ya 1% ya wastani wa kipato cha familia kununua maji.

8. VIWANDA NA SEKTA BINAFSI: Ripoti za BoT zinaonyesha Uzalishaji wa bidhaa za Viwandani umeshuka kwa zaidi ya nusu, hata mauzo ya bidhaa za viwandani yameshuka, kutoka trilioni 1.5 mpaka bilioni 700. Mbaya zaidi, tangu mwaka huu uanze viwanda kadhaa vimefunga/kusitisha uzalishaji kutokana na kukosekana kwa sukari ya viwandani pamoja na kutolipwa kwa Ritani zao la Kodi zitokanazo na hiyo Sukari ya Viwandani (pamoja na Ritani za VAT). Viwanda vikubwa viwili vya Saruji vikiwa navyo vimesitisha uzalishaji, na kufanya gharama za bidhaa hiyo kupaa zaidi. Hivyo kuua ndoto nzima ya uchumi wa Viwanda.

9. BEI - NAFAKA: Bei ya mazao ya Wakulima imeshuka mno. Mwaka 2017, Mkulima wa Kata ya Tomondo, Mikese, Morogoro alipata mifuko 10 ya Saruji (cement) kwa kuuza gunia 1 tu la Mahindi (Gunia ilikuwa ni shilingi 120,000 na Mfuko mmoja wa Saruji wa kilo 50 ulikuwa ni shilingi 12,000). Kwa sasa Mkulima huyo anapata mifuko ya Saruji 3.5 akiuza Gunia lake 1 la Mahindi (Gunia sasa ni shilingi 50,000 na Saruji sasa ni shilingi 14,000). Mwaka 2017 Mkulima wa Maharagwe wa Kata ya Msambara, Kasulu, Kigoma aliuza kilo 7.5 za maharagwe na kupata fedha za kununua mfuko mmoja wa Saruji (kilo ya Maharagwe ilikuwa shilingi 2000 na Mfuko wa Saruji ulikuwa shilingi 15,000). Kwa sasa, Mkulima huyo atapaswa kuuza kilo 14.6 za Maharagwe ili kupata mfuko 1 wa Saruji (Maharagwe 1kg ni shilingi 1300 na Saruji ni shilingi 19,000).

10. BEI - MIFUGO: Mwaka 2017 Mfugaji wa Kata ya Sumbugu, Misungwi, Mwanza, aliuza Ng’ombe 1 ili kununua mifuko 27 ya Saruji (Ng’omne mmoja ilikuwa ni shilingi 400,000/- na mfuko mmoja wa Saruji ulikuwa ni shilingi 15,000/-). Kwa sasa, Mfugaji huyo anapata mifuko 9 tu kwa kuuza ng’ombe mmoja (Ng’ombe mmoja ni shilingi 150,000/- na mfuko mmoja wa Saruji ni shilingi 17,000/-).

11. BEI - MAZAO YA BIASHARA: Utafiti wa Mwezi Januari, 2018 uliofanywa na taasisi za Tanzania Pulses Network na East Africa Grain Council unaonyesha kuwa hasara iliyopatikana kutokana na mbaazi zilizokosa soko hapa nchini ni zaidi ya shilingi Bilioni 100. Hasara hii ni kubwa mno kwa wakulima wa mikoa ya Kusini na Pwani. Hasara hii pia iko kwa wakulima wa Giligilani na Pareto katika mkoa wa Manyara ambao bei ya mazao yao imeshuka kwa zaidi ya nusu. Hasara hiyo pia ipo kwa Wakulima wa Tumbaku wa Tabora ambao tumbaku yao imekosa soko kabisa na kudumbukizwa kwenye ufukara.

12. MBOLEA IMEPANDA BEI: Pamoja na matatizo yote hayo ya kupungua kwa tija kwenye Kilimo (kukosekana kwa soko na kushuka kwa bei kwa mazao), Serikali imeamua KUWANYONGA zaidi wakulima, kwa kupandisha bei ya mbolea. Bei elekezi mpya ya Mbolea ya Serikali imepanda kutoka kati ya 41,00/- na 54,000/- mpaka kati ya 47,000/- na 57,000/- kwa mfuko wa 50kg. Jambo hili litawaumiza zaidi wakulima wetu na kuzidisha Ufukara wao. Tangu hapo kuna unyonyaji kwenye sekta ya mbolea, mfano mbolea ambayo bei elekezi ni shilingi 41,000 - 54,000, inauzwa mtaani kwa wastani wa shilingi 60,000 - 85,0000. Sasa badala ya Serikali kuhakikisha inakesha huu unyonyaji, nayo imeamua kuwanyonga zaidi wakulima.
 
Hivi kila wanachosema wazungu ni sahihi? Wapige kelele na wachukue hatua dhidi wa wazungu wenzao wanaozidi kuchochea migogoro Africa ili kuendelea kuiba rasilimali huku wakiwaachia wana wa nchi hizo mateso makubwa. Jiulize kwa nini UN kwa miaka mingi hadi sasa imeshindwa kurejesha amani DRC!

Kuna wazungu wanyoofu wametoa taarifa ya utafiti unaoonesha kuwa ndege za misaada pamoja na MAMBO mengine huja na silaha na huondoka na madini Congo na Sudan ya Kusini.
 
Vita ya uchumi? Unapigana na nani dada yangu? Hapo ndipo mnapokuwa delusional na Rais wenu. Marekani aache kupigana na Urusi na Japan aje apigane kiuchumi na nchi masikini ya 10 katika listi ya umaskini duniani? Yaani mnajiona a super country, eti. Ni ndoto za mchana hizo. Kabla ya 2015, kuna utawala ambao uliwahi kufungia magazeti kiasi hiki tangu vyama vingi vianze? Kuna utawala wowote uliowahi kukataza kazi za vyama vya kisiasa?

Ngoja nikuache, MAANA like many other African you don't know the world. Japan has never been in adversity with America. But China who was more or less like we Afrikans. Now is a big competitor of the West. Even Afrika can in future be the competitor.
I argue you to read.
1. How Europe underdeveloped Afrika by Walter Rodney
2. The dead aid by dambisa moyo.
3. The South North dialogue chaired by the late Mwalimu J. K. Nyerere.
Also
4. An autobiography of Angela Davis.
5. Other literatures of Africans American I'm an African for purpose.
6. Assassination of Patrice Lumumba.
 
KATIKA HALI KAMA HII HUWEZI KOSA MAADUI.

Na Thadei Ole Mushi

[HASHTAG]#Amezuia[/HASHTAG] utorishwaji wa madini kwa kisingizio cha kusafirisha Makenikia.

[HASHTAG]#Amezuia[/HASHTAG] waibaji wa Tanzanite yetu pale Mererani kwa kujenga Ukuta na Ulinzi mkali.

[HASHTAG]#Amezuia[/HASHTAG] Ujangili kwenye Mbuga zetu za Wanyama.

[HASHTAG]#Amezuia[/HASHTAG] utoroshaji wa wanyama kama Twiga kupeleka ulaya.

[HASHTAG]#Amezuia[/HASHTAG] uingizwaji wa madawa ya Kulevya hovyo hovyo nchini Mwetu.

[HASHTAG]#Amezuia[/HASHTAG] upitaji wa mafuta pale bandarini bila kupitia kwenye mita.

[HASHTAG]#Amefunga[/HASHTAG] vifaa vya Kisasa pale Bandarini kuhakikisha hakuna magendo yanayopita pale bidhaa zote zilipiwe kodi.

[HASHTAG]#Amewafukuza[/HASHTAG] watumishi wasiowaaminifu kwenye kila idara ya Serikali nchini ili kila Raia apate haki.

[HASHTAG]#Amefunga[/HASHTAG] vifaa vya kisasa kwenye airport zetu kuzuia wapiga dili wasiingize magendo au kutoa magendo nchini.

[HASHTAG]#Amewaondoa[/HASHTAG] wafanyakazi hewa nchini ambao walikuwa wakitafuna fedha ya Serikali bure.

[HASHTAG]#Amewazuia[/HASHTAG] viongozi wabadirifu kusafiri na kutoka njee ya nchi hovyo hovyo kuchezea pesa za Serikali.

[HASHTAG]#Amewatimua[/HASHTAG] wenye vyeti fake ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo walizokuwa wanazitumikia.

[HASHTAG]#Ameyashughukikia[/HASHTAG] makampuni makubwa kama accacia na mengineyo ambayo yalikuwa yanacheza na Rasilimali za nchi hii.

[HASHTAG]#Umetumbua[/HASHTAG] tumbua kila jipu la nchi hii....

[HASHTAG]#KATIKA[/HASHTAG] hali kama hiyo huwezi kukosa maadui..... Sisi wananchi wa Tabaka la chini tunaelewa unayoyafanya.

[HASHTAG]#TuNaSiMaMaNaJPM[/HASHTAG]

Ole Mushi
 
Ngoja nikuache, MAANA like many other African you don't know the world. Japan has never been in adversity with America. But China who was more or less like we Afrikans. Now is a big competitor of the West. Even Afrika can in future be the competitor.
I argue you to read.
1. How Europe underdeveloped Afrika by Walter Rodney
2. The dead aid by dambisa moyo.
3. The South North dialogue chaired by the late Mwalimu J. K. Nyerere.
Also
4. An autobiography of Angela Davis.
5. Other literatures of Africans American I'm an African for purpose.
6. Assassination of Patrice Lumumba.
Hayo mavitabu nilisoma wakati niko Chuo Kikuu. Hizo ni perspectives za watu tu. Hakuna mtu anayeionea wivu Tanzania kwa kujenga vibarabara vya lami na vi-fly over viwili. Uchumi unaweza jengwa bila ya akina Lissu kupigwa risasi, magazeti kufungiwa na mikutano ya vyama kuzuiwa...
 
Hayo mavitabu nilisoma wakati niko Chuo Kikuu. Hizo ni perspectives za watu tu. Hakuna mtu anayeionea wivu Tanzania kwa kujenga vibarabara vya lami na vi-fly over viwili. Uchumi unaweza jengwa bila ya akina Lissu kupigwa risasi, magazeti kufungiwa na mikutano ya vyama kuzuiwa...

Acha ulongo. Dead aids ulisoma mwaka gani?
But the bottom line the West has never been comfortable with the committed leaders, especially in an endowed LANDS like Afrika and middle East.
 
Nipo mkuu...ila hujaniambia nimekuwa mnafiki kwenye jambo gani?
Mkuu Mimi ninafanya ambazo Mara nyingi nimekuwa mikoa mbali mbali hakuna mkoa sifika ktk inchi hii maisha ya watu vijijini na mijini ni magum sana na Serikali ni hii hii miaka yote kama siyo unafiki tutasifiaje Serikali hii ?
 
an authoritarian and erratic president, hapa ndo mwandishi alipopatia sana

From English dictionary:

Authoritarian - favouring or enforcing strict obedience to authority at the expense of personal freedom.

Erratic - not even or regular in pattern or movement; unpredictable.

I wish i could see the writer i would have bought him a cold beer to enjoy himself.
Tena unampa balimi
 
The best is yet to come, for over ten years we have been having FDI's that provide employment to Tanzanian citizens but pay them less than what they gain from us. Now that our lovely president is pinning them, they turn to write against him. If he was their puppet we would have seen how they publish good economic figures even if there is disparity. We need ourselves more than we need international investors, let them write what they write. All we have to do is to focus upon our goals towards sustainable development, a true development for the citizens of our country.
 
Asiyesoma magazeti ni mjinga, lkn anayesoma magazeti na kuamini KILA KITU ni mjinga hata ZAIDI.


Kuna tofauti kati ya kuanini "kila kitu" kwenye habari na kuamini kila habari. Kwenye hiyo habari ya Magufuli nimesema ni "ukweli mtupu." Wewe kama unaona ni uongo au wamemsingizia rais "wetu mpendwa" , tueleze ni upi??
 
Wanabodi.

Hii ni Makala toka jarida la The Economist, linamsakama sana rais Magufuli, katika Makala hii, linahamasisha rais Magufuli adhibitiwe kwa kuwekewa vikwazo vikali kabisa kiuchumi.
How to save Tanzania

Wachumi wetu tusaidieni, ukiondoa hoja za udikiteta, jee kiuchumi rais Magufuli anafanya vizuri?. Kama rais Magufuli anajenga Tanzania yenye neema na ustawi kiuchumi, then tujiulize jee Watanzania tunataka nini?. Tunataka Tanzania masikini yenye demokrasia, au Tanzania tajiri yenye udikiteta?.


Democracy in Africa How to save Tanzania

Start by containing President John Magufuli
20180317_BLP513.jpg

Print edition | Leaders
Mar 17th 2018
THE white beach of Dar es Salaam may seem enticing. Yet the bodies that have washed up on it, almost in sight of the city’s glistening offices and hotels, are a sign of Tanzania’s sickening lurch to despotism. Opposition politicians are being shot; activists and journalists are disappearing.

Until recently Tanzania’s political stability drew investors and donors, spurring one of the fastest sustained streaks of economic growth in Africa. But John Magufuli, an authoritarian and erratic president in his third year in office, threatens to undo much that Tanzania has achieved over the past few decades. The rest of Africa, and the world, should not keep quiet.

The Teacher’s flawed lessons

Tanzania matters, in part because of the aura of the late Julius Nyerere, its first prime minister, as a founding father of post-colonial Africa (he is still affectionately known as Mwalimu or “Teacher”). Like many other leaders of the time, he was an autocrat, instituting one-party rule on the ground that democracy was “an over-sophisticated pastime which we in Africa cannot afford”. He impoverished a generation through his “African socialism”. He nationalised companies and forced millions onto collective farms, burning their homes to stop them returning. The result was hunger and economic chaos.

Even so, he sought to unite his country in a region where many clung to power by stoking tribal tensions. He was, in general, less repressive than many of his peers. And by sending his troops into Uganda, he got rid of Idi Amin, one of the world’s nastiest dictators. More recently, with the restoration of multiparty democracy in 1994, Tanzania has been the darling of investors. Its output has grown on average by about 6.5% a year for the past decade. It has attracted foreign direct investment worth an average of 4% of GDP each year. Tanzanians are now about twice as rich as they were in 1990.

Yet this progress is imperilled by Mr Magufuli, who is transforming a stable, if flawed, democracy into a brutal dictatorship (see article). Officials have taken to making arbitrary demands for taxes. Businesses are shutting, exports are slumping, investors are fleeing and economic growth is forecast to slow.

20180317_LDC104.png

Outsiders have been shamefully mealy-mouthed. Africa is almost silent. America and the European Union recently expressed concern about political violence, but did not criticise the government directly. Nor did they threaten to take action if the repression continues. Some diplomats argue that a part-suspension of American aid in 2016 was ineffective. Aid officials worry that further cuts would hurt mainly the poor.

They could and should be more forceful. Three years ago European countries temporarily withheld about $500m over corruption. The government soon fired and charged officials who were implicated. Tanzania is Africa’s third-largest recipient of Western aid (and the largest per person); 10-15% of its revenues come from Western countries as fungible “budget support”. Multilateral donors are still tripping over one another to give it cheap loans and grants. The World Bank, for instance, has increased its allocation to Tanzania by $500m, to $2.4bn.

For Western donors to look away as Tanzania descends into oppression would be to discard much of its progress in recent decades. Most of all, Tanzania’s neighbours need to act. Failing to stand up for the rule of law is to encourage other would-be despots to do their worst.

This article appeared in the Leaders section of the print edition under the headline "Tanzania’s sickening lurch"

Jee rais Magufuli amewakosea nini wazungu hawa hadi kumkamia namna hii?, wakati baadhi yetu tukitamani Katiba ibadilishwe, tumpatie rais Magufuli muda wa kutosha kuinyoosha nchi, hawa watu wanamuita John Magufuli, an authoritarian and erratic president who is transforming a stable, if flawed, democracy into a brutal dictatorship.

Ni haki kweli kumuita rais wetu, an authoritarian and erratic president na kumtuhumu kuwa ana transforming a stable, democracy into a brutal dictatorship?. Kuna ukweli wowote hapa?.

Paskali

Mayala,
kwanza naomba tuulizane nani anamiliki hilo gazeti?, toka lini hilo gazeti likaandika jambo zuri kuhusu Tanzania?.
 
Back
Top Bottom