seyayi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 681
- 802
TULIPOKOSEA KUJUMLISHA NI HAPA:
Maendeleo=watu+ardhi+siasa safi+utawala bora.
Sina shaka aliyetutoa relini ni Bwana Paulo.huyu jamaa sio mtu mzuri kabisaaa lengo la mwenye kigoda lilikuwa zuri sasa mechanisms zinazotumika ni kinyume na walio kusudiwa kwenye maendeleo yanayosemwa.
Maendeleo=watu+ardhi+siasa safi+utawala bora.
Sina shaka aliyetutoa relini ni Bwana Paulo.huyu jamaa sio mtu mzuri kabisaaa lengo la mwenye kigoda lilikuwa zuri sasa mechanisms zinazotumika ni kinyume na walio kusudiwa kwenye maendeleo yanayosemwa.