Huku ndo wananiita, 'akili nyingi', hadi nashangaa ujue! πUtakuwa umechanganya jina, huko wajanja wengi
Mtu yeyote mwenye IQ kubwa ndani ya miaka 10 aliyoajiriwa, inamtosha kabisa kuwa amejiajiri.
Itakuwa ni ajabu, una zaidi ya miaka 10 kazini, na umeshindwa kujiajiri.
Hii inatafsiri, IQ yako iko chini.
Jaribu, kutathmini IQ yako.
Wakisoma uzi huu bila kutafakari kwa kina watalia kwa kwikwi hadi wapate homa.
Na sina hata mpango wala mawazo ya kuhama kwa mama wa kambo , ππWewe ni mfwu kabisa. Miaka 40? Na unaona fresh tu?
Haya subiri kifo, na hakuta kuwa na historia ya marehemuNa sina hata mpango wala mawazo ya kuhama kwa mama wa kambo , ππ
Unitafutie vijana 50,000 kwa ajili ya kunitembezea kahawa maeneo yote ya stendi Afrika Mashariki.IQ ya Kukesha ukichoma mahindi?
Waulize, kati ya yai na kuku kipi kilianza?Huku ndo wananiita, 'akili nyingi', hadi nashangaa ujue! π
Mpaka wewe kuamini hayo mambo ya kusadikika, inaonyesha kabisa IQ yako iko chini.Nafikiri kwa post yako hii, inaonesha IQ yako ni ya kupeleka kwa mwamposa akaiweke sawasawa....
Binti hujambo?πΉπΉπΉ
Cc kichogo corn
Najua tu watasema, kuku.Waulize, kati ya yai na kuku kipi kilianza?
historia haubadilishi kituHaya subiri kifo, na hakuta kuwa na historia ya marehemu
Sijambo, shikamboo babuBinti hujambo?
Kwa nini?Najua tu watasema, kuku.
Yule mchumba wangu ulimpeleka wapi?Sijambo, shikamboo babu
Kwa sababu kuku ana umbo kubwa kuliko yai πKwa nini?
Kwa IQ hii ni hatari sana, ebu pata balimi saba kwa gharama ya mfuko wako.Kwa sababu kuku ana umbo kubwa kuliko yai π
ππKwa IQ hii ni hatari sana, ebu pata balimi saba kwa gharama ya mfuko wako.
Einstein na IQ ya 180Mtu yeyote mwenye IQ kubwa ndani ya miaka 10 aliyoajiriwa, inamtosha kabisa kuwa amejiajiri.
Itakuwa ni ajabu, una zaidi ya miaka 10 kazini, na umeshindwa kujiajiri.
Hii inatafsiri, IQ yako iko chini.
Jaribu, kutathmini IQ yako.
Zile ni stori tu, kama tunavyoaminishwa wewe ulikuwa sokweEinstein na IQ ya 180
Newton na IQ ya 200
Enrico Femi
Michael Faraday
Henri Rutherford
Linus Pauling
etc walijiajiri?