Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,094
- 62,013
Elimu uliyopata, imekupa ujuzi wa kutenda nini?Tunao kaa kwa mama wa kambo 40+ years nasi una neno gani ? ajira tulikosa na kujiajiri ikawa imposible. Hapa ni mwendo wa kwenda kusaga mashineni kula kulala na kucheza bao na footblal
Ni muhimu kushtuka mapema na kuchukua hatuaWakisoma uzi huu bila kutafakari kwa kina watalia kwa kwikwi hadi wapate homa.
nilisoma mambo ya kuwa director wa video za ngono.. kama una connection nipe mchongo nitoke kwa mama wa kamboElimu uliyopata, imekupa ujuzi wa kutenda nini?
Huo ni ulemavu tu wa ubongoJe, mimi niliyejifunza NOTA kwa miaka mitano ili niwale mademu wakali ninapowafundisha kwenye kwaya IQ yangu ni kubwa?
Huu ujumbe umemlenga Nani?wale wanaotushauri tujiajiri?ama waajiriwa wenyewe ama wanasiasa waliotolewa kwenye reli?Mtu yeyote mwenye IQ kubwa ndani ya miaka 10 aliyoajiriwa, inamtosha kabisa kuwa amejiajiri.
Itakuwa ni ajabu, una zaidi ya miaka 10 kazini, na umeshindwa kujiajiri.
Hii inatafsiri, IQ yako iko chini.
Jaribu, kutathmini IQ yako.
Perception zako tu mkuu huwezi unapimaje IQ ya myu kwa 10 years chanzo cha utafiti huu ukipataje hebu fafanua hapoMtu yeyote mwenye IQ kubwa ndani ya miaka 10 aliyoajiriwa, inamtosha kabisa kuwa amejiajiri.
Itakuwa ni ajabu, una zaidi ya miaka 10 kazini, na umeshindwa kujiajiri.
Hii inatafsiri, IQ yako iko chini.
Jaribu, kutathmini IQ yako.
Katafute ujuzi wa ufundi, ata wa kuziba pacha matairi ya baiskeli.nilisoma mambo ya kuwa director wa video za ngono.. kama una connection nipe mchongo nitoke kwa mama wa kambo
Magonjwa ya akili yanazidi kuongezeka siku hadi siku.Kujiajiri sio lazima! Wewe ndiye mwenye IQ ndogo kuamini kujiajiri ni lazima.
Uko sahihi, ndio maana ukishagundua tatizo inabidi kujiongeza.ELimu ya Tanzania inamfanya raia kuwa domand kwa kichwa chake
mifumo yoteHuu ujumbe umemlenga Nani?wale wanaotushauri tujiajiri?ama waajiriwa wenyewe ama wanasiasa waliotolewa kwenye reli?
Miaka 10 ni mingi sana kwa yeyote yule mwenye akili kubwa.Perception zako tu mkuu huwezi unapimaje IQ ya myu kwa 10 years chanzo cha utafiti huu ukipataje hebu fafanua hapo
Life siyo simpe kiasi hicho mkuu upo ndani ya sytem au unatema cheche upo nje kama upo ndani unaelewa what it'sMiaka 10 ni mingi sana kwa yeyote yule mwenye akili kubwa.
Kuziba pancha na kumiliki hii toto ni mbingu na ardhi.. acha ubinafsiKatafute ujuzi wa ufundi, ata wa kuziba pacha matairi ya baiskeli.
Vipi kuhusu sisi tulio jiajiri tukategemea kutoboa na tukaangukia pua.. Na tumekula loss... But saiv tunajipanga upya.. bila kuchoka.. naitwa Mr IQMtu yeyote mwenye IQ kubwa ndani ya miaka 10 aliyoajiriwa, inamtosha kabisa kuwa amejiajiri.
Itakuwa ni ajabu, una zaidi ya miaka 10 kazini, na umeshindwa kujiajiri.
Hii inatafsiri, IQ yako iko chini.
Jaribu, kutathmini IQ yako.