Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 19,768
- 41,863
Labda useme ulimpa sababu ya kupambana sababu ya mapenzi yake kwako.Nilimjia na baraka
Labda useme ulimpa sababu ya kupambana sababu ya mapenzi yake kwako.Nilimjia na baraka
Imekutokea ukafanikiwaNi kweli
Nitatoa kimtindoNgoja nije sasa 🤣🤣
Matumizi utatoa
We Kama unataka utelekezwe na mtoto jichanganye tuNgoja nije sasa
Matumizi utatoa
Kuna muhuni wangu anao 8 wanawake tofauti tofauti nikisema 8 situngi mkuu hii sio fiction Ni kweli na mwaka huu kaamua kuoa cha ajabu kachafua kitaa na mimba nyengine na hakuna hata mmoja anamuhudumia kuna watu wana ujasiriNi bora kijana wa kiume awe na mifugo kuliko kuwa na watoto.
Tafuta hela, oa uzeeni.
Acha kuwaonea wivu wengine, pambana na maisha yako.
We unadhani ma deadbeat yanatokeajeUzazi ni gharama.. mimba zenyewe zinabagua vyakula, hazitaki wali dagaa
Hapo mtoto hajaja..
.Sasa mzabzab una miaka miwili ya kuishi huyo mtoto utamfaidije sasa .Ebu njoo unizalie mie mzabzab hapa niache jina maana nina miaka miwili tuu ya kuishi
Sii nitamwachia mrembo Mallerina mil 150 alee mtotoSasa mzabzab una miaka miwili ya kuishi huyo mtoto utamfaidije sasa .
Unataka utuachie wajomba mizigo tulee bao lako
Hela zipo ni wewe tuu kunisusia mbusuus unazipata. Yule mwengine kaninyima punene na mie nimenyima mapenez😂Sio we ulikuwa unalia huna hela
Kazi ulishapata mkuu🤨🤨Kama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto...
Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. .......
Wa kwanza asipoleta pandikiza mwingine ..jaribu kuleta mwingine na mwingine na mwingine...
Thank me later
Cc: Kijana masikini and 100 others