Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Watamgeuka hata amini, Ndugai ang'ang'anie humo humoYaani Mh. Spika Ndugai ni wa kupigwa biti na hawa watoto wanaonuka maziwa, wagogo huwa ni wakimya ila comeback yao huwa inakishindo kikubwa mno.
Mama awe makini na hao anaowaita washauri wake.