StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 3,679
- 3,718
Kumbe ana option ya kuvunja bunge?. Sasa nani atambabaisha?Huo ujanja atautoa wapi, akipigiwa kura ya kutokuwa na imani nae?
Aombe apate backup ya bunge vinginevyo avunje bunge.
Kumbe ana option ya kuvunja bunge?. Sasa nani atambabaisha?Huo ujanja atautoa wapi, akipigiwa kura ya kutokuwa na imani nae?
Aombe apate backup ya bunge vinginevyo avunje bunge.
Ilimradi awe na sifa za kuwa Rais.✓Gombaneni lakini mkae mkijua raisi ajae ni Roman Catholic. Kama wewe ni dini nyingine Fanya mchakato wa kubadilisha dini tuone
Wewe ni mataga tangu zamaniNimepachikwa kwenye kundi la Sukuma gang sababu ya mawazo mbadala... ukichaa wa kisiasa tu