Wanabodi,
Mara kwa mara Dr. Hamisi Kigwangala amekuwa akilamiwa mara kwa mara na kushutumiwa, leo ndia nimeanza kumkubali, kiukweli huyu jamaa ni kichwa maji kweli kweli!, yaani kichwani ni mtupu mweupe kabisa katika masuala ya katiba, labda kwenye udakitari!. Kama uelewa wake wa jambo dogo simple kama hili ameshindwa kulielewa, Dr. huyu aliwezaje, kupata udakitari?!.
Issue yenyewe ya ukichwa maji wa Dr. Kigwa, Lissu amezungumzia siku ya kusainiwa Mkataba wa Muungano kule Zanzibar, tarehe 22/04/1964 na ratification iliyofanywa na bunge la Tanganyika tarehe 25/04/1969.
Mkataba wa Muungano ni kitu kimoja na sheria ya muungano ni kitu kingine!. Lisu amewataja waliokuwepo siku ya kusaini mkataba!, Kingwa anawataja waliokuwepo siku ya ratification na kudai Lissu ni mpotoshaji!.
Pasco
Wanabodi,
Mara kwa mara Dr. Hamisi Kigwangala amekuwa akilamiwa mara kwa mara na kushutumiwa, leo ndia nimeanza kumkubali, kiukweli huyu jamaa ni kichwa maji kweli kweli!, yaani kichwani ni mtupu mweupe kabisa katika masuala ya katiba, labda kwenye udakitari!. Kama uelewa wake wa jambo dogo simple kama hili ameshindwa kulielewa, Dr. huyu aliwezaje, kupata udakitari?!.
Issue yenyewe ya ukichwa maji wa Dr. Kigwa, Lissu amezungumzia siku ya kusainiwa Mkataba wa Muungano kule Zanzibar, tarehe 22/04/1964 na ratification iliyofanywa na bunge la Tanganyika tarehe 25/04/1969.
Mkataba wa Muungano ni kitu kimoja na sheria ya muungano ni kitu kingine!. Lisu amewataja waliokuwepo siku ya kusaini mkataba!, Kingwa anawataja waliokuwepo siku ya ratification na kudai Lissu ni mpotoshaji!.
Pasco
Wanabodi,
Mara kwa mara Dr. Hamisi Kigwangala amekuwa akilamiwa mara kwa mara na kushutumiwa, leo ndia nimeanza kumkubali, kiukweli huyu jamaa ni kichwa maji kweli kweli!, yaani kichwani ni mtupu mweupe kabisa katika masuala ya katiba, labda kwenye udakitari!. Kama uelewa wake wa jambo dogo simple kama hili ameshindwa kulielewa, Dr. huyu aliwezaje, kupata udakitari?!.
Issue yenyewe ya ukichwa maji wa Dr. Kigwa, Lissu amezungumzia siku ya kusainiwa Mkataba wa Muungano kule Zanzibar, tarehe 22/04/1964 na ratification iliyofanywa na bunge la Tanganyika tarehe 25/04/1969.
Mkataba wa Muungano ni kitu kimoja na sheria ya muungano ni kitu kingine!. Lisu amewataja waliokuwepo siku ya kusaini mkataba!, Kingwa anawataja waliokuwepo siku ya ratification na kudai Lissu ni mpotoshaji!.
Pasco
Wanabodi,
Mara kwa mara Dr. Hamisi Kigwangala amekuwa akilamiwa mara kwa mara na kushutumiwa, leo ndia nimeanza kumkubali, kiukweli huyu jamaa ni kichwa maji kweli kweli!, yaani kichwani ni mtupu mweupe kabisa katika masuala ya katiba, labda kwenye udakitari!. Kama uelewa wake wa jambo dogo simple kama hili ameshindwa kulielewa, Dr. huyu aliwezaje, kupata udakitari?!.
Issue yenyewe ya ukichwa maji wa Dr. Kigwa, Lissu amezungumzia siku ya kusainiwa Mkataba wa Muungano kule Zanzibar, tarehe 22/04/1964 na ratification iliyofanywa na bunge la Tanganyika tarehe 25/04/1969.
Mkataba wa Muungano ni kitu kimoja na sheria ya muungano ni kitu kingine!. Lisu amewataja waliokuwepo siku ya kusaini mkataba!, Kingwa anawataja waliokuwepo siku ya ratification na kudai Lissu ni mpotoshaji!.
Pasco
Kingwangala sio Mwenyekiti wa ile kamati., mwenyekiti ni Ole Sendeka
kigwa anatafuta umaarufu kupitia Mh Lissu aliyebobea kwenye sheria na Muungano kuujua vizuri, na ndio maana uwa ana hakika na anayozungumza. ni vyema kigwa akawa anajishughulisha zaidi na wagonjwa. yani ccm na serikali mbili watashindwa, maana hawana hoja zaidi ni yaleyale ya porojo, nasubiria jioni kwenye mjadala, maana taarifa na miongozo itakuwa ya kutosha, yule naye kundi maalumu badala ya kutetea kundi lake, yeye anatetea ccm.
Wanabodi,
Mara kwa mara Dr. Hamisi Kigwangala amekuwa akilamiwa mara kwa mara na kushutumiwa, leo ndia nimeanza kumkubali, kiukweli huyu jamaa ni kichwa maji kweli kweli!, yaani kichwani ni mtupu mweupe kabisa katika masuala ya katiba, labda kwenye udakitari!. Kama uelewa wake wa jambo dogo simple kama hili ameshindwa kulielewa, Dr. huyu aliwezaje, kupata udakitari?!.
Issue yenyewe ya ukichwa maji wa Dr. Kigwa, Lissu amezungumzia siku ya kusainiwa Mkataba wa Muungano kule Zanzibar, tarehe 22/04/1964 na ratification iliyofanywa na bunge la Tanganyika tarehe 25/04/1969.
Mkataba wa Muungano ni kitu kimoja na sheria ya muungano ni kitu kingine!. Lisu amewataja waliokuwepo siku ya kusaini mkataba!, Kingwa anawataja waliokuwepo siku ya ratification na kudai Lissu ni mpotoshaji!.
Pasco
Mkuu ni kweli huyu jamaa ulikuwa bado unamchukulia serious?Ile formula ya Garbage in Garbage out inaaplai sana kwake?Aliingia bungeni kwa mazabezabe na matokeo yake ni hoja hafifu siku baada ya siku.Kama kuna siku niliyom-delete kabisa ni ile waliyetoleana Bastola na yule Msomali na utetezi wake baada ya hilo.Hapa majuzi nasikia ka-mobilize wananchi waandamane kwenda kuvamia mgodi...Wabunge wa CCM hawa.
PascoWanabodi,
Mara kwa mara Dr. Hamisi Kigwangala amekuwa akilamiwa mara kwa mara na kushutumiwa, leo ndia nimeanza kumkubali, kiukweli huyu jamaa ni kichwa maji kweli kweli!, yaani kichwani ni mtupu mweupe kabisa katika masuala ya katiba, labda kwenye udakitari!. Kama uelewa wake wa jambo dogo simple kama hili ameshindwa kulielewa, Dr. huyu aliwezaje, kupata udakitari?!.
Issue yenyewe ya ukichwa maji wa Dr. Kigwa, Lissu amezungumzia siku ya kusainiwa Mkataba wa Muungano kule Zanzibar, tarehe 22/04/1964 na ratification iliyofanywa na bunge la Tanganyika tarehe 25/04/1969.
Mkataba wa Muungano ni kitu kimoja na sheria ya muungano ni kitu kingine!. Lisu amewataja waliokuwepo siku ya kusaini mkataba!, Kingwa anawataja waliokuwepo siku ya ratification na kudai Lissu ni mpotoshaji!.
Pasco
Mheshimiwa umesahau kuwa Kigwangala ni daktari wa tiba (MD), ambayo ni digrii ya kwanza sawa na nyingine kama BA, BSc, LLB nk, kwa hiyo usitake kumpima kwa kiwango cha PhD. Sifa za kujiunga digrii ya kwanza zinafanana kwa fani zote, sifa za kumaliza zinatofautiana kidogo kwa mujibu wa mahitaji maalumu ya kila fani, lakini kimsingi ikishaitwa digrii ya kwanza ni digrii ya kwanza tu hata kama aliye nayo anaitwa daktari. Kumbuka kuna wengine hawana hata hiyo digrii ya kwanza (mfano wale wenye zile advanced diploma za medicine) bado kiutaratibu wanaitwa madaktari. Kwa hiyo neno 'daktari' lisikubabaishe mhe [MENTION]Pasco [/MENTION]