Japo mie UKAWA, CCM nimewakubali

Kuna Bibi Mzee alibakwa na kijana ila tu Kijana alivunja mlango kabla ili aingie ndani kumbaka Bibi.

Bibi alimwambia hakimu aliyekuwa anasimamia hiyo kesi ya Ubakaji "Ninamsamehe kosa lake, ila tu atengeze Mlango aliounja nyumbani kwangu na achukue kabisa funguo ya akiba"

Labda sisi Watanzania tumeshanogewa na Ubakaji wa CCM? Sisi Wanyamwezi wa Tabora yaani hadi tunakata mauno kama wachezaji Baikoko kutoka Tanga. Ni raha kama unakula Chenza, mniam, mniam, Kubakwa na CCM raha.

 

Eti japo wewe UKAWA mtaacha lini unafiki? Na hii yote ni kwa sababu ya kuangalia pua badala ya kuangalia mbele.
 
Eti japo wewe UKAWA mtaacha lini unafiki? Na hii yote ni kwa sababu ya kuangalia pua badala ya kuangalia mbele.

Ujinga unabaki kwetu sisi wananchi. Hata hili neno hujaliona aiseee............mzee wa Afield. we soma bila jazba utanielewa baadae
 
Asante kiongozi mie mmbea lakini wezi wetu wamekabidhiana silaha za kutuibia bila kuuana. Soma bila hasira utaelewa tu.
Inaelekea umeshakuwa sadist...km unafahamuh hayo yote kwa kwanini unafanyai kazi huo ushenzi kwa gia ya kusurrender?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…