DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
AHADI imetolewa kwamba wagombea ubunge na udiwani wa CCM wakichaguliwa kwenye uchaguzi mkuu watahakikisha Mkoa wa Songwe unapata timu inayoweza kushindana kwenye ligi kuu.
Mgombea wa ubunge katika Jimbo la Vwawa kupitia CCM, Japheti Hasunga ametoa ahadi hiyo jana alipoomba kura kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za jimbo hilo.
Amesema malengo yake pamoja na mgombea wa ubunge Jimbo la Mbozi Onesmo Mnkondya ni kuhakikisha mkoa unakuwa na timu imara inayoundwa na vijana wa mkoa huu ili wapate ajira.
Wakati huohuo Timu ya Azam Fc jana imeharibu pilau la timu ya Mbeya City kwa kuitandika mabao 2-0 katika mchezo wa sherehe za Mbeya City kutambulisha wachezaji.
Mabao hayo yamefungwa katika vipindi vyote viwili ambapo moja limefungwa kipindi cha kwanza na la pili limefungwa kipindi cha pili.
Mgombea wa ubunge katika Jimbo la Vwawa kupitia CCM, Japheti Hasunga ametoa ahadi hiyo jana alipoomba kura kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za jimbo hilo.
Amesema malengo yake pamoja na mgombea wa ubunge Jimbo la Mbozi Onesmo Mnkondya ni kuhakikisha mkoa unakuwa na timu imara inayoundwa na vijana wa mkoa huu ili wapate ajira.
Wakati huohuo Timu ya Azam Fc jana imeharibu pilau la timu ya Mbeya City kwa kuitandika mabao 2-0 katika mchezo wa sherehe za Mbeya City kutambulisha wachezaji.
Mabao hayo yamefungwa katika vipindi vyote viwili ambapo moja limefungwa kipindi cha kwanza na la pili limefungwa kipindi cha pili.