BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,123
- 2,817
Ukistaafu pumzika , tuache tamaa. Aged 67 bado unapenda majukwaa?
Rest in Paece
Rest in Paece
Use the language your parents can undestandWherever we should respect
Hakuna kitu mtafanyaUkistaafu haimaanishi kuwa Watu wenye Uchungu nawe kwa uliyowafanyia na Wao Watastaafu kutaka Kukumaliza.
Kuna mwingine nae Mstaafu yuko Tanzania nasikia Watu wa Kanda ya Ziwa ( hasa kwa Wasukuma na Wasubi ) wana Hasira nae kwa lile la 17 Machi, 2021.
Ngoja kidogo nitatumaMkuu nitumie pm au iweke hapa
Mbwa ipi jmn😁Kwani JK ndio aliiua ile mbwa
Aisee, ni nini sijui sababu. Wajapan si walishasahau mambo haya? Au wapo wenye hobi zao ,wakiamua wanakumbukia tu?Shirika la Habari la NHK linaripoti kuwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe amekimbizwa Hospitalini baada ya kujeruhiwa kwa risasi mgongoni wakati akitoa hotuba katika Mji wa Nara...
Kuna mstaafu wetu alikula vibao wakati akihutubia!
Kweli Russia sio Tegeta..
Nimesema tu haihusian na mada