Japan: Waziri Mkuu wa zamani, Shinzo Abe afariki dunia baada ya kushambuliwa kwa risasi

Aliyewahi kua Waziri Mkuu wa Japan bwana Shinzo Abee,amefariki dunia leo!

Habari za awali zinasema alipigwa risasi na mtu,lakini hakufariki dunia pale, amefariki baada yakufika hospital
 
Kuna Bwn Mmoja aliwahi mvamia mzee Mwinyi akampiga makofi. Mzee mwinyi kwa uungwa akamsamehe ila sheria ilichukua mkondo wake akafungwa nadhani alimaliza kifungo chake. Nakumbuka chanzo Mzee Mwinyi alihimiza masuala ya uzazi wa mpango.

Kuna watu wana depression.
 
Next
Screenshot_20220708-085638.jpg
 
Ukistaafu haimaanishi kuwa Watu wenye Uchungu nawe kwa uliyowafanyia na Wao Watastaafu kutaka Kukumaliza.

Kuna mwingine nae Mstaafu yuko Tanzania nasikia Watu wa Kanda ya Ziwa ( hasa kwa Wasukuma na Wasubi ) wana Hasira nae kwa lile la 17 Machi, 2021.
Hakuna kitu mtafanya
 
Shirika la Habari la NHK linaripoti kuwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe amekimbizwa Hospitalini baada ya kujeruhiwa kwa risasi mgongoni wakati akitoa hotuba katika Mji wa Nara...
Aisee, ni nini sijui sababu. Wajapan si walishasahau mambo haya? Au wapo wenye hobi zao ,wakiamua wanakumbukia tu?
 
Back
Top Bottom