Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Nchi ya Ujapani imefanya majaribio ya treni inayopelekwa kwa kutumia nguvu za Sumaku na wameweza kufika Mwendokasi wa 603km/saa na hawaongei Kiingereza, siajabu wewe na baba yako mnajua kiingereza kuwazidi Wajapani na kimetunufaisha na nini zaidi ya majungu na Ubinafsi tu, .... wewe!