Waziri Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema haya kuhusu uzinduzi wa treni ya mwendokasi
Jana tumefanya majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es salaam hadi Morogoro jambo kubwa ni kwamba wawekezaji wengi kwa sasa wanatamani kuwekeza maeneo ambayo Reli ya umeme ya SGR imepita, hivyo miongoni mwa sababu zinazowavutia wengi kuja kuwekeza Tanzania ni uwepo wa mazingira mazuri ya uwekezaji.
Tumefanya maboresho 665 ya kisera, kisheria na kikanuni kwa miaka mitano iliyopita ambapo katika maboresho hayo zaidi ya maboresho 416 yalilenga kuweka mazingira bora ya uwekezaji na biashara hii inaonyesha kuwa nchi yetu kwa sasa ina mazingira mazuri ya Biashara na uwekezaji.
Jana tumefanya majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es salaam hadi Morogoro jambo kubwa ni kwamba wawekezaji wengi kwa sasa wanatamani kuwekeza maeneo ambayo Reli ya umeme ya SGR imepita, hivyo miongoni mwa sababu zinazowavutia wengi kuja kuwekeza Tanzania ni uwepo wa mazingira mazuri ya uwekezaji.
Tumefanya maboresho 665 ya kisera, kisheria na kikanuni kwa miaka mitano iliyopita ambapo katika maboresho hayo zaidi ya maboresho 416 yalilenga kuweka mazingira bora ya uwekezaji na biashara hii inaonyesha kuwa nchi yetu kwa sasa ina mazingira mazuri ya Biashara na uwekezaji.