Hilo tatizo lipo sidhani kama ni kwa waafrika pekee mm nachojua ni kwamba baada ya bomu la nuclear kupigwa huko japani matatizo makubwa yalianza kujitokeza kama vile watu kuzaa watoto vilema wa viungo mbalimbali hilo pia inawezekana ikawa sababu
Dr wa Rais, Prof Janabi, would be in a good position to answer this question scientifically.
I am not sure if he is a JF member.
urongooooooooooooooooooooooooooooo:A S-baby::A S-baby:
kwaiyo ndo kusema japana hakuna wanaume?
mistak bwana:A S 114:
Aii nilikuwa nataka kusema Japan nkajisemea Marekani. Hi njaa ya asubuhi asubuhi hii, sio nzuri.sio marekani ni japan. marekani hakuna condition kama hii.
Aii nilikuwa nataka kusema Japan nkajisemea Marekani. Hi njaa ya asubuhi asubuhi hii, sio nzuri.
urongooooooooooooooooooooooooooooo:A S-baby::A S-baby:
kwaiyo ndo kusema japana hakuna wanaume?
mistak bwana:A S 114:
Aii nilikuwa nataka kusema Japan nkajisemea Marekani. Hi njaa ya asubuhi asubuhi hii, sio nzuri.
Inawezekana ikawa kweli!..hizo ni effect za hiroshima nuclear bombs..sitaishi japan hata kwa dawa.
Duuh... hii aise yawezekana kuwa kweli, maana washikaji wote wamebahatika watoto wa kike!!
Amecopy na kupaste huyo....watu tumeishi huko na tumetotoa watoto bomba tu wa Kike na wa Kiume....
Wee uko Japan au unataka kwenda huko?nauliza hivyo ili niweze pata sehemu ya kuanzia .
Na kama ni kweli nini kifanyike ili mtu aweze kuzaa kama kawaida bila ya kupatwa na hayo madhara ya 'ujapani' kwani kuzaa watoto wa kike ni madhara!!!! you mean ukizaa watoto wa kike unakuwa hujazaa kawaida!!! analyze your statements kwanza