Hapana, sio kiama. Ma tsunami haya yanatokana na tectonic movements ardhini.Kiama hicho. Mungu atunusuru.
Hapana, sio kiama. Ma tsunami haya yanatokana na tectonic movements ardhini.
Zimezidi kwa sababu binadamu amezidi ku destabilize earth crust.
Tunachimba mafuta, tunachimba chuma na mawe ardhini, tunaondoa gesi ardhini, tunajenga magorofa mazito kwenye sehemu ambayo originally hakukuwa meant kubeba uzito huo, tunalipua mabomu ya nuklia, hayo yote yana distort natural integrity of the earth crust.
Forget the "Mungu tunusuru" claptrap. Angekuwa anaweza kukunusuru asingesubiri umbembeleze baada ya li-tsunami kuuwa Wajapan, yeye si Mungu wa huruma kwa wote, sasa akunusuru wewe, wewe una sura nzuri zaidi?[/QUOTE]
Makofi kwako kwenye red at least umenena kijiografia na kwa kuongeze ukanda ule wote ni lazima uathirike kwa kuwa
ndio makutano ya hizi t.plates.
Kwenye bluu punguza jazba shule zinatofautiana.
Hapana, sio kiama. Ma tsunami haya yanatokana na tectonic movements ardhini.
Zimezidi kwa sababu binadamu amezidi ku destabilize earth crust.
Tunachimba mafuta, tunachimba chuma na mawe ardhini, tunaondoa gesi ardhini, tunajenga magorofa mazito kwenye sehemu ambayo originally hakukuwa meant kubeba uzito huo, tunalipua mabomu ya nuklia, hayo yote yana distort natural integrity of the earth crust.
Forget the "Mungu tunusuru" claptrap. Angekuwa anaweza kukunusuru asingesubiri umbembeleze baada ya li-tsunami kuuwa Wajapan, yeye si Mungu wa huruma kwa wote, sasa akunusuru wewe, wewe una sura nzuri zaidi?
Tuchukue tahadhari, tanzani pia ina plates kama tatu hivi sikosei.