Mpimaardhi
Senior Member
- Jun 7, 2014
- 169
- 14
Huupati bwana mdogo
Jana maaskofu wametoa tamko la kumtakia Makamba safari yenye mafanikio huku wakisema 2015 ni mwaka Wa kizazi kipya.
Kama Maaskofu wamemkubali sina Pingamizi,tatizo asije akakumbatia udini kama huyu tuliyenaye sasa maana hata yeye Maaskofu ndio waliompigia kampeni kwa kumwita ni Chaguo la Mungu lakini baadae akawageuka Wakristo.
Maaskofu ni sehemu ndogo sana ya watu ktk jamii ya TZ. Siwapingi, ila kumkubali kwao tuchukulie kuwa ni maoni yao kama Mtanzania mwingine yeyoye anayelitakia mema taifa lake.
Sisi kwa pamoja tuamini akili zetu, tuone kuwa nasi tunao uwezo wa kuamua hatima ya taifa letu. Tusiache mustakbali wa taifa ukawa mikononi mwa watu wachache na mwishowe tukaishia kunung'unika kama hivi sasa kuhusu msimamo wa maaskofu ktk uchaguzi uliopita. Kwa pamoja tunaweza!
Maaskofu ni sehemu ndogo lakini ina ushawishi mkubwa sana.Kitendo cha Mapadri na wachungaji kuuwawa pamoja na kulazimishwa kuchnijiwa Mifugo yao kwa Ibada za Miungu huku Makanisa yakichomwa kimewatoa imani sana na Uongozi wa mwislamu.
Hongereni maaskofu kwa kutambua umuhimu wa taifa letu kuongozwa na kizazi kipya.
Kama Maaskofu wamemkubali sina Pingamizi,tatizo asije akakumbatia udini kama huyu tuliyenaye sasa maana hata yeye Maaskofu ndio waliompigia kampeni kwa kumwita ni Chaguo la Mungu lakini baadae akawageuka Wakristo.
Mbona kuna askofu amesema nchi hii ni changa kuongozwa na mnyoa unga?!Hongereni maaskofu kwa kutambua umuhimu wa taifa letu kuongozwa na kizazi kipya.
Hoja apa ni kuleta fikra mpya za watu ambao wakiharibu kizazi cha miaka 30 ijayo kitawahoji maana kiumri bado wana safari ndefu hatutaki kutibu watu presure pale Ikulu tunahitaji watu wenye uwezo wa kuhimili mikikimikiki ila pole kama na wewe ni mstaafu yaani above 55 endelea kula mafao yako, saa kumi na mbili jioni hiyo sasa si mtatufikisha usiku wa manane au tutalala porini.
kwenye msafara wa mamba na Mokiwa yumo.Mbona kuna askofu amesema nchi hii ni changa kuongozwa na mnyoa unga?!
Unajua nani kachangia mawazo mpaka leo hii nchi yetu inavuna kodi ya international calls kiasi cha zaidi ya billioni moja kila mwezi baada ya kufunga mtambo wa kubill ni nani?, unajua mgogoro wa Aritel na TTCL mpaka hivi karibuni tunatarajia ubia umaalizike ili kampuni mama limilikiwe na serikali 100% na lianze kukopesheka na hatimaye tutumie simu za kampuni mama kimawasiliano nani anaratibu kumaliza huo mgogoro ? unajua mawasiliano vijijini ufungaji wa minara inayotumia sora ili kupeleka mawasiliano vijijini na mipakani kote ambako network ilikuwa haipatikani nani ameongoza kampeni hizo na sasa baadhi ya vijiji wanawasiliana bila matatizo ni nani kachangia kufanikisha?....... najua haya ulikuwa huyajui ila kwa taarifa yako kijana January baada ya kufika pale wizarani mapinduzi makubwa ya mawasiliano yametokea na kwa taarifa yako sasa hivi inafungwa device ambayo itamonitor mawasiliano yote hapa nchini na kugundua kila mtu atayepiga simu au kutumia mitandao kwa nia ovu yuko wapi na device hiyo kama ni simu au computer kuna uwezekano wa kudestroy remotery na isifanye kazi daima kwa hiyo tutakomesha uchochezi..... kwa hayo machache wewe unasemaje!Nafikiri utoto unakusumbua ndiyo maana kila anayehoji uwezo wa Makamba unafikiri ni mzee. Actually, inawezekana huyo Makamba kanizidi 1 or 2 years. But the fact is so far January hajaonyesha uwezo wake popote ..................... hiyo simaanishi kuwa hana kipaji cha uongozi. Akiwa kama Naibu Waziri ilitakiwa tuone something from him, personally, I have not seen anything. Akina Zito pamoja na usaliti wao wameonyesha potential kuliko January by far tena wakiwa nje ya serikali kitu ambacho siyo rahisi.
Fikira mpya haziletwi na vijana bali na watu walio nje ya system .................... January akiwa ndani ya system hajaonyesha dalili yeyote ya kuwa na uwezo wa kutuletea maendeleo zaidi ya kile wanachokifanya CCM. Ndiyo maan tunahoji POTENTIAL!!! Hope you are getting it!!?
fisadi wa kwanza wewe.
Hongereni maaskofu kwa kutambua umuhimu wa taifa letu kuongozwa na kizazi kipya.