January Makamba tutakukumbuka

January Makamba tutakukumbuka

Jr_peace9367

Member
Joined
Jul 20, 2019
Posts
7
Reaction score
10
IMG_0941.JPG




Siasa ni mchezo mchafu sana wenye weledi ndio wanoa teseka siku zote,mimi binafsi sijaona sababu ya makamba kutolewa sijaona mantiki ata kidogo ila naelewa kuwa nia na dhumuni ni kulinda maslai ya chama cha mapinduzi na sio wananchi


Na kama bashe asinge ongea kuhusu maswala ya barua ya wazee wa ccm kuwa makosea ata icho cheo asingepewa

Nchi imekuwa jalala la vibaraka ukisifia kidogo unapata chakula cha familia yako na ukiwa mkwel kwa maslai ya nchi unanyanganywa chakula cha familia yako
 
Who cares working for the regime?

Ukimfanyia kazi anakuita ‘pumbavu’!

Jamaa ni workers abuser!


Vibaraka wanajali maslai yao lakin ipo siku wote watajikuta sehem moja na wanateseka wote kama wakumbuka jiwe alienda gerezan akasema kwa kinywa chake yeye n mfungwa wa baadae analijua ilo na sio kuwa alikosea kusema anajua mwsho wake n wap
 
Inaonekana kuna mgogoro mkubwa ndani ya CCM.

Halafu mzee jiwe hajui kufanya siasa Kwa hiyo anatumia mabavu tu
 
Waliambiwa kuwa jiwe akimaliza kutafuna wapinzani wataanza kutafunwa wao, wakabisha!!
 
View attachment 1158630



Siasa ni mchezo mchafu sana wenye weledi ndio wanoa teseka siku zote,mimi binafsi sijaona sababu ya makamba kutolewa sijaona mantiki ata kidogo ila naelewa kuwa nia na dhumuni ni kulinda maslai ya chama cha mapinduzi na sio wananchi


Na kama bashe asinge ongea kuhusu maswala ya barua ya wazee wa ccm kuwa makosea ata icho cheo asingepewa

Nchi imekuwa jalala la vibaraka ukisifia kidogo unapata chakula cha familia yako na ukiwa mkwel kwa maslai ya nchi unanyanganywa chakula cha familia yako
ACHA KUPOTOSHA WEWEEE !! JANUARY MAKAMBA AMEKUWA MKWELI KWA LIPI ZAIDI YA KUONESHA KUWA NI MSALITI. HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUMVUMILIA MSALITI. HUWEZI KUWA KWENYE CABINET HALAFU UNASHIRIKI NJAMA DHIDI YA BOSS WAKO. DAWA YA WASILITI SIKU ZOTE NI KUONDOLEWA TUUUU. ZITTO ALINUNULIWA NA JACK ZOKA - MKURUGENZI WA USALAMA, DAWA YAKE ALIYOIPATA NI KUFUKUZWA TU CHADEMA. HAKUNA MTU MBAYA KAMA MSALITI !!!!! WASALITI NI WATU WA KUFUKUZA TU NASHANGAA KWANINI WAMEONDOA UWAZIRI TU ALIPASWA KUFUKUZWA HADI KWENYE CHAMA
 
ACHA KUPOTOSHA WEWEEE !! JANUARY MAKAMBA AMEKUWA MKWELI KWA LIPI ZAIDI YA KUONESHA KUWA NI MSALITI. HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUMVUMILIA MSALITI. HUWEZI KUWA KWENYE CABINET HALAFU UNASHIRIKI NJAMA DHIDI YA BOSS WAKO. DAWA YA WASILITI SIKU ZOTE NI KUONDOLEWA TUUUU. ZITTO ALINUNULIWA NA JACK ZOKA - MKURUGENZI WA USALAMA, DAWA YAKE ALIYOIPATA NI KUFUKUZWA TU CHADEMA. HAKUNA MTU MBAYA KAMA MSALITI !!!!! WASALITI NI WATU WA KUFUKUZA TU NASHANGAA KWANINI WAMEONDOA UWAZIRI TU ALIPASWA KUFUKUZWA HADI KWENYE CHAMA

Usaliti wake upo wap? Unayo evidence gan kuwa kasaliti?
 
Kweli TL ni nabii katika siasa za Tanzania aliyoyasema yote yanaishi na bado muda utaongea zaidi
 
Hata hao waliobaki kwenye huo uongozi wa juu, bora wajiondokee tu, ni stress tupu, hakuna utamuu wa kuwa kiongozi awamu hii, wanakaa kwa mashaka sana, hakuna taabu hapa Duniani km kuishi kinafiki, (umfurahishe fulani tu baas) yaani ni kama urafiki wa paka na Mbwa, mda wote paka hana amani, aweza tafunwa. hata mbwa akikimbia zake paka anastuka tu lazima.

Bora bana makamba wewe jiondokee tu. bado mdogo sana.

Nikiwatizama hao mawaziri hawana confidence hata ya dawa. yaani ni misukule tuu, mr yes boss! hawawezi kuiba kidogo, kutanua kidogo, kusafiri kidogo, kutalii kidogo, kasherehe kidogo.

utamu wa uwaziri udokoe kidogo mama afurahie x mass, ndo tulivo umbwa na Mungu sisi binadamu.
 
Kwanza hawataweza kujijenga kimaisha kama jiwe mwenyewe alivo jijenga hiko chato na kwingineko, mimi nilijiondokea taatiiibu, nilimpa makavu jiwe sitaki hii awamu yako. napiga maisha ughaibuni, naingia na kutoka nchini kama kawa. lkn hao misukule hawatakaa wanifikie hata siku moja pamoja na uwaziri wao.
utaishije kwa mshahara wa uwaziri bana.

yaani nikiwaangalia nacheeekka mpaka basi.
 
imekuuma sana
pole

Mtu yeyote timamu lazima imuume akiona workers wanakua abused!

Kama huwi concerned ukiona wanadamu wenzio wanakua abused aisee I cant help you sir!

Ila si maajabu,all people of this regime are insane!
 
january ile sheria ta makisa ya mitandao aliyoisimamua kwa ngvu zote ...sada anarudi kuitumikia
 
Back
Top Bottom