OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Kama viongozi wa takukuru nao wanakula wacha wale tu,kiama chao 2015...bhaji nasikia leo kachoka sana mpaka sasa ajaamka kwa rushwa aliotoa ya aina ya mmmh....
Kwa maneno hayo TAKUKURU ifutwe bajeti wanayopewa itumike kusafisha miji yetu.
hiyo inatupa pcha kwamba hatahuko kwenye kamati anapokea. basi aje hapa jamvini atueleze hayo
Lakini kibarua kilimpata, wote hao!nasubiri jibu teh teh teheeee...
ahh na kingereza chake cha marekan TANDALE jana wakat anaomba kura dah...bdada anajua sana kuutumia UCHUMI WAKE wala haukaliiiii mwaya akhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ye anapaa tu kwa raha zake:car:
Ukweli halisi: Rushwa imetembea sana kwenye uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Wabunge wa vyama VYOTE tunahusika. Aibu kwa taifa zima!
Maneno yake hayo on twitter
Hapana, msiwalaumu hawa watu. Rushwa kubwa zinagusa watu wakubwa pia. Ndio maana utasikia wanachunguza rada, kagoda, meremeta, kiwira, na nyingine nyingi kubwa. Halafu ngoma ikifika kwa DPP (a point of exit iliyowekwa makusudi) hatoi kibali. Kwa mujibu wa Katiba Hakuna chombo chenye ruhusa ya kuhoji maamuzi ya DPP. Tuna matatizo mengi nchi hii.Umesema ukweli wote; kama polisi walishindwa eti dawa ikawa kuunda kikosi cha polisi wasiona sare na kubadili jina AIBU, hawawezi ifutwe tu. Sakata la RADA JE, hawa kweli tunawahitaji au tatizo ni vipaumbele vyetu?
Usimpangie mtu.... Mbona ww hupeleji magazetiniKwanini kwenye Twitter, na isiwe TBC 1, huyu jamaa na yeye anapenda umaarufu rejareja, akiandika kwenye twitter babu zangu wa kule Ikungulyambeshi wanaijua hiyo twitter??
Ukweli halisi: Rushwa imetembea sana kwenye uchaguzi wa Wabunge wa EALA. Wabunge wa vyama VYOTE tunahusika. Aibu kwa taifa zima!
Maneno yake hayo on