January Makamba: Mbunge wa aina yake

Status
Not open for further replies.
JANUARY MAKAMBA, Chair of Tanzania's Parliamentary Committee for Energy and Minerals is set to turn discussion into action.

Makamba confirms participation and attendance at this senior level debate on the development of gas and power across Africa. With stakeholders from Kenya, Mozambique, Namibia, Nigeria, the UNEP, IFC as well as
major international players from Siemens, GE and Cummins this is a major opportunity for your organisation to join this important 'call for action'.
Powering Africa: the Financial Options (PAFO 5) to be held at Serena Beach & Spa, Mombasa, 9 - 11 November
Meet and engage with a range of Government officials, power executives and utilities from the public and private sector to discuss and act on investment opportunities across Africa. Please contact Amy Offord at amy@energynet.co.uk for more information or to receive a programme.
Yours sincerely,

Amy Offord
EnergyNet Limited
London
amy@energynet.co.uk
+44 (0)20 7370 8704

This is paranoia at its best. Hivi nani kakuambia anaenda kuingia mkataba kwa niaba ya Serikali? Mamlaka ya aina hiyo hana. Hawezi kuwakilisha Wizara wala TANESCO kwa vile yeye sio mtendaji, ni Mbunge wa kawaida na sio mwakilishi wa Serikali.

Sioni wapi ni dhambi kwa yeye kuhudhuria mkutano, mdahalo au panel discussion kwa niaba yake binafsi au kwa ruhusa ya Ofisi ya Spika ndani au nje ya nchi.

Why Makamba (The Bunge Committee Chairman - Legislative Watchdog) and NOT Ngeleja and Mnyika (The Costitutional Executives IN THAT SECTOR)???????????????????????????????

Huyu kijana anaweza kuwa tishio zaidi ya Rostam. Rejea waraka wa dada yake kwa Barrick. Tujitahidi kumpinga kwa nguvu zote.
 
Hakuna mwanaJF asiyejua skendo za Makamba Jr tokea akiwa USA, magogoni na baadae ubunge wa bumbuli. We have to be careful with the said young politicians.
 
Nilishasema tangu awali kwamba January is a visionary that Tanzania need. Tunamfahamu tangu kule YoungAfrica mpaka hapa Jambo Forum kabla ya jamii forum tulikuwa tunaona why he is different compare to others. Tatizo lake ni kuazaliwa na mzee makamba labda? But other than that the guy is executor and visionary. He forecast things which are beyond normal eyes.

Tunachoendeleza humu ni chuki na majungu na roho mbaya. Wengine humu hatujui hata what this guy is stand for lakini sababu ana jina Makamba in the end of January basi tuna shoot it. We need everybody who is for change, Tanzania need a visionaries, Tanzania need many Zitto and many January.
 
Jibu hoja za nyaraka nyeti hizo mbili hapo ju; ACHA KUPIGA MAYOWE, acha wenye kutathmini mambo waone wenyewe.

Nilishasema tangu awali kwamba January is a visionary that Tanzania need. Tunamfahamu tangu kule YoungAfrica mpaka hapa Jambo Forum kabla ya jamii forum tulikuwa tunaona why he is different compare to others.

Tatizo lake ni kuazaliwa na mzee makamba labda? But other than that the guy is executor and visionary. He forecast things which are beyond normal eyes.

Tunachoendeleza humu ni chuki na majungu na roho mbaya. Wengine humu hatujui hata what this guy is stand for lakini sababu ana jina Makamba in the end of January basi tuna shoot it. We need everybody who is for change, Tanzania need a visionaries, Tanzania need many Zitto and many January.
 
Nime furahishwa sana na style ya uongozi wa January Makamba, mbunge wa CCM akiwakilisha jimbo la Bumburi.

Niliwahi kuona akitoa namba zake (15013) kwa ajili ya wananchi kuwasiliana nae kwa jambo lolote haraka iwezekanavyo (huku ni kuonesha uwajibikaji).

Na hivi karibuni pia nimeona website yake, januarymakamba.com akiongelea mambo mengi, zaidi kuhusu yeye na Jimbo lake.

Well, ni ubunifu mkubwa sana ingawa ni wananchi wa chache sana wa jimbo lake wanaweza ku-access website hiyo na kuona mipango ya maendeleo na jinsi atakavoitekeleza...

Lakini dunia nzima (marafiki zake na wale wanao mfuatilia juu ya uongozi wake ambao hawapo Bumburi) watafurahishwa na jinsi anavyoonesha kufanya kazi na hata kuchangia shughuli za maendeleo huko.


Style yako naipenda, I hope una mengi unayowaza juu ya Tanzania. Fanya sasa tuyaone, umeanza vyema.

Hapo pekundu inabidi ujiulize anafanya hivi kwa ajili ya nani? Watu wake au popularity? Aende kuishi huko Bumbuli na kusikia hizo shida kila siku, sio kushinda kwenye Twitter, facebook, nk!
 
Kwa ccm watamzima kama Amina chifupa endapo ataendelea kuongea ukwel,kama jana kwenye mdahalo alivyomsema Ngereja na Werema laivu
 
Nilishasema tangu awali kwamba January is a visionary that Tanzania need. Tunamfahamu tangu kule YoungAfrica mpaka hapa Jambo Forum kabla ya jamii forum tulikuwa tunaona why he is different compare to others. Tatizo lake ni kuazaliwa na mzee makamba labda? But other than that the guy is executor and visionary. He forecast things which are beyond normal eyes.

Tunachoendeleza humu ni chuki na majungu na roho mbaya. Wengine humu hatujui hata what this guy is stand for lakini sababu ana jina Makamba in the end of January basi tuna shoot it. We need everybody who is for change, Tanzania need a visionaries, Tanzania need many Zitto and many January.
Who among them is up for change? who has ever changed anything?..name one.

Usiongee kwa vile unamjua personally..........issue hapa ni kwamba ukiwa CCM huwezi kufanya anything good. Thats how it works kwa wanaccm!!
 
Dogo naskia ana bifu na riz1

Mange, ningeweza kuwasiliana na Mwamvita ningemtumia ujumbe lakini sina mawasiliano naye.

Mimi ni mtu wa karibu sana wa Ridhiwani Kikwete. Kuna bifu la chinichini kati ya Januari na Ridhiwani.

Ridhiwani anadai kwamba matatizo alonayo ya ufisadi yametokana na January. Anasema kwamba, January alipekeleka habari zake kwa wanachadema na pamoja na kwa mchungaji Mtikila. Pia anadai kwamba January anapeleka siri nyingi za baba yake kwa Lowasa na Rostam Aziz. Kwa maana hiyo amekuwa akitumia watu wengine ndani ya Vodacom kuwachafua January na Mwamvita.

Chanzo cha kumchafua Mwamvita siyo Maxence bali ni Ridhiwani Kikwete. Habari ndo hiyo. Ni Ridhiwani, na aliyetuma nyaraka kumchafua Mwamvita ni shushushu ambaye anamsaidia Rizinani. walipanga hili swala pale Meditarenneao restaurant kawe
 
Kwa ccm watamzima kama Amina chifupa endapo ataendelea kuongea ukwel,kama jana kwenye mdahalo alivyomsema Ngereja na Werema laivu
Sidhani kwamba watamzima kwa design hiyoo!
by the way, Amina muda wake ulifika bana, alishamaliza kula maisha hapa duniani.
 
Dogo naskia ana bifu na riz1

Mange, ningeweza kuwasiliana na Mwamvita*ningemtumia ujumbe lakini sina
mawasiliano naye.*Mimi ni mtu wa karibu sana wa Ridhiwani
Kikwete.*Kuna bifu la chinichini kati ya Januari na*Ridhiwani.
Ridhiwani anadai kwamba matatizo*alonayo ya ufisadi yametokana na January.
Anasema*kwamba, January alipekeleka habari zake kwa*wanachadema na
pamoja na kwa mchungaji mtikila.*Pia anadai kwamba January anapeleka siri
nyingi za*baba yake kwa Lowasa na Rostam Aziz. kwa maana*hiyo amekuwa
kitumia watu wengine ndani ya Vodacom*kuwachafua January na mwamvita.
chanzo cha*kumchafua mwamvita siyo maxence bali ni ridhiwani*kikwete.
habari ndo hiyo. ni Ridhiwani, na*aliyetuma nyaraka kumchafua mwamvita ni
shushushu*ambaye anamsaidia Rizinani. walipanga hili swala*pale
Meditarenneao restaurant kawe

wewe na hao waliokutuma shauri yenu
sisi tupigania nchi yetu,
wewe na huyu january na huyo rizwani kafieni mbali mpotee
 
Kweli, kama aliweza ku - raise millions of dollars from external sources ili kuingia bungeni lazima awe mbunge wa aina yake.
 
Clemmy, nilipomsikiliza huyu bwana jana kwenye mdahalo...yaaa.. i salute him. he has brains. Sio kama minyang'au mingine humo kwenye chama chao.
 
Nime furahishwa sana na style ya uongozi wa January Makamba, mbunge wa CCM akiwakilisha jimbo la Bumburi.

Niliwahi kuona akitoa namba zake (15013) kwa ajili ya wananchi kuwasiliana nae kwa jambo lolote haraka iwezekanavyo (huku ni kuonesha uwajibikaji).

Na hivi karibuni pia nimeona website yake, januarymakamba.com akiongelea mambo mengi, zaidi kuhusu yeye na Jimbo lake.

Well, ni ubunifu mkubwa sana ingawa ni wananchi wa chache sana wa jimbo lake wanaweza ku-access website hiyo na kuona mipango ya maendeleo na jinsi atakavoitekeleza...

Lakini dunia nzima (marafiki zake na wale wanao mfuatilia juu ya uongozi wake ambao hawapo Bumburi) watafurahishwa na jinsi anavyoonesha kufanya kazi na hata kuchangia shughuli za maendeleo huko.

Style yako naipenda, I hope una mengi unayowaza juu ya Tanzania. Fanya sasa tuyaone, umeanza vyema.

You know what??!! I think you've started to count your chicks before they are hatched.... My advice.. You should be more results oriented... an ounce of actions... is much, much heavier than tons of theories!!!!
 
Nilishasema tangu awali kwamba January is a visionary that Tanzania need. Tunamfahamu tangu kule YoungAfrica mpaka hapa Jambo Forum kabla ya jamii forum tulikuwa tunaona why he is different compare to others. Tatizo lake ni kuazaliwa na mzee makamba labda? But other than that the guy is executor and visionary. He forecast things which are beyond normal eyes.

Tunachoendeleza humu ni chuki na majungu na roho mbaya. Wengine humu hatujui hata what this guy is stand for lakini sababu ana jina Makamba in the end of January basi tuna shoot it. We need everybody who is for change, Tanzania need a visionaries, Tanzania need many Zitto and many January.
Mhn!kumbe bado upo?
Amefanya nini cha maana na wakati yeye ndo msahuri mkuu wa JK?Jamani,sometimes msiwe blindsided na mapenzi binafsi ama ushabiki kama alivyofanya mleta hoja.
 
Umesema mkuu kazi kusifu 2 wengine huku umasikin umetujaaa... Kweli nchi yetu inakabiliwa na mbumbumbu yaani kazi kweli kweli.
Watanzania mtakaa na kuishia kusifia wanasiasa huku shida kibao zimewajaa hadi machoni ilihali wenzenu wala na kusaza na makombo kutupia mbwa,amkeni acheni ujinga!
 
WADAU WA SEKTA YA NISHATI NA MADINI WASIPOMKODOLEA MACHO TAMAA ZA HUYU KIJANA JANUARY MAKAMBA NA ZITTO KABWE, TAIFA LETU KUSIKIA FAIDA ZA KUJALIWA GESI REDIONI TU HUKO MBELE YA SAFARI

Mara baada ya ufisadi huu mkubwa wa DOWANS unaomkera kila Mtanzania leo, kuna uwezekano mkubwa sana ufisadi mwingine mkubwa zaidi tena utakaogharimu taifa mpaka vitukuu endapo
HAWA WABUNGE VIJANA WANAOUTUMIA UDHAIFU WA CCM hivi sasa watakapoachiwa maswala hasa ya mradi wa gesi na madini kuchezea wapendavyo kwenye kujipeleka nazo kama mali binafsi kwa makampuni ya kimataifa.

Tusipoziba ufa leo juu ya mikataba zaidi na hasa itakayosaidiwa kuingiwa na January Makamba na pengine kuchangi KUMPOFUSHA KABISA huyu Zitto Kabwe na huku kucharaza ndimimbili kwake,
UFISADI UTAKAOFWATIA hasa juu ya MAJADILIANO JUU YASIODHIBITIWA NA WADAU WENGI JUU YA MIRADI ITAKAYOTOKANA NA GESI NCHINI, watu tujiandae kulia na kusaga meno zaidi.

Onyo langu ndio hilo hapo, hutaki basi!! Ukistaajabu ya DOWANS subirini miradi ya gesi inayokuja.


Mkuu UT mara nyingi posti zako hazina tabia ya kuzunguka mbuyu lakini kwa nini unafanya hivyo leo, tuweke wazi kuhusu unalolijua juu ya wanasiasa hao wawili ZK na JM wananini nyuma ya pazia na Tanzania tunayoita???????
 
mkuu ni ngumu sana hawa mafisadi wa nyakati tulizo nazo kuota mizizi kama ya rostam au chenge na mlokole feki lowasa
mungu ametujalia tumefunguka macho,
huyu tunamuanza hata kabla hajamaliza kipindi chake cha ubunge!

natamani iwe hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom